Luhanga Mpina hana maslahi anayowapigania Watanzania zaidi ya mabifu yake binafsi

Hapa naona bifu lako na chuki kwa Mpina sio kingine, au ulikua na maana gani?
 

Shida ya nchi hii wengi hawajui njia sahihi za kikatiba na kidemokrasia namna ya kukataa wanayoona si sawa sana sana uchawa at work. Inasikitisha sana kwa vizazi vya sasa na vijavyo
 
Hayo unasema wewe! Ila msitukanane, jifunzeni SIASA za staha.
leo ndio unaona kunahitajika siasa za staha sio gentleman? 🐒

kama kwamba, kabisa hujawahi ona mihemko, ghadhabu na matukano kutoka kwa kundi la chama fulani cha waporomosha matusi, right?🐒

yaani kufanya maombi leo tu umejikuta Mtakatifuuuuu!!!🐒
 
Jibuni hoja zake
 
Mwanasiasa hasa hawa wa Africa don't trust any body you will be too disappointed
 
Okay endeleeni kutukanana , by the way it's non of my business, uaneni!
 
Bashe bwana
 
Morogoro amechukua shamba la kijiji kizima, wanakijiji hawana mahali pa kulima, analima mpaka kwenye milango yao ya nyumba na vyoo, ukatili wa hali ya juu sana
Sawa, je! sukari bei gani?
 
Nikuulize jomba tufafanulie vizuuri, hayo yoooote aliyoongea Mpina, je ni uongo?? Ningeshauri jomba ukaweka majibu Moja baada ya lingine ili tuwasafishe Mawaziri wetu...usiongee kisiasa mwanawane na maneno mengi bila point, watu hawakuelewi na andiko lako hili..njoo firm na maelezo sahihi kwanza.jibu hoja zote za kwake, za Bodi Ile inayoongozwa na Mhe.Baloz na maelezo ya Makampuni ya Sukari...tatizo wewe umemuangalia Mpina badala ya kuangalia hoja zao Kwa ujumla wake .sawa jomba..usije ukaitwa chawa wa Fulani..kama una Nia nzuri ya kusafisha Viongoz wetu
 
Hivi unataka kutufanya sote hatujui kuona mchele ni upi na chuya ni zipi? Mpina kwa hili hamuwezi kumchafua, anaungwa mkono na wengi!. Halafu kwanin nyie viumbe wachache hampendi mtu anayesema kweli?
 
Sisi hayo mabifu ndio tunataka, kama yanaleta mabadiriko. Kwani sisi tutakula maslahi?
 
Kumbuka Mhe.Rais wetu hataki upuuzi upuuzi na Usanii...Mama muelewa sana na anataka Serikali na viongozi walionyooka...na wapo tayari kuwahudumia wananchi Kwa dhati kabisa na sio rongorongo...white iwe white na black iwe black..msitake kumgombanisha na wananchi Dr Rais wetu..mkomee..!!kama mmevurunda hayo yenu..na ndio maana anawatumbua mapemaa.. tena nasema Kwa mama yetu, Dr.. tumbua wote wasio na Maadili .wananchi watakuheshim sana, hii ndio Siri..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…