Soloma TV Online
Senior Member
- Jun 26, 2023
- 104
- 291
Mchezaj tajwa kwenye hii thread ni yupi kati ya hao wawili???Baada ya kufika atambulishwa mbele ya wachezaji wenzake wageni pamoja na wale ambao aliwaacha akiondoka mfano Boko, Chama, Kapombe, Tshabalala, na wengine wengi.
Ilikuwa furaha kwao kukutana nao tena kwenye Timu iliyommulikia taa ya mafanikio kisoka Afrika.
Inawezekana pia ikawa zaidi ya uleLuis ni mchezaji mzuri ila ubora alioondoka nao msitegemee ndio aliorudi nao, tarajieni yasiyotarajiwa.
Dogo anatia shaka manake katoka shavu na kitambiLuis ni mchezaji mzuri ila ubora alioondoka nao msitegemee ndio aliorudi nao, tarajieni yasiyotarajiwa.
Utateseka sana na Simba hadi ikutoe bawasiriMashabiki wa simba wameususa tena huu uzi!
Sijui ndiyo kusema hawajafurahishwa na huu usajili wa huyu dogo ambaye vyombo vingi vya michezo vya nje vinamtambulisha kama floppy!
Mmakonde sasa rasmi ndani ya uzi mwekundu...Baada ya kufika atambulishwa mbele ya wachezaji wenzake wageni pamoja na wale ambao aliwaacha akiondoka mfano Boko, Chama, Kapombe, Tshabalala, na wengine wengi.
Ilikuwa furaha kwao kukutana nao tena kwenye Timu iliyommulikia taa ya mafanikio kisoka Afrika.