Rockcity native
JF-Expert Member
- Dec 31, 2012
- 2,174
- 1,445
Dogo yupo vizuri wachezaji wachache sana wanakuwa na uwezo wa kupiga miguu yote kwa ufasahaaHuyu jamaa anapiga miguu yote 100%
Style ile ile ya sant cazorla midfielder maestro wa zamani wa Arsenal. Kona ikiwa kushoto yeye utatumia guu la kulia, ikiwa Kulia yeye utatumia guu la kushoto
Hakika simba imepata fundi...!!
Pia nidhamu yake ipo vizuriDogo yupo vizuri wachezaji wachache sana wanakuwa na uwezo wa kupiga miguu yote kwa ufasahaa
Kama samattaAnajua hilo halina ubishi ,halafu hanaga show off.
Samatta anasubiri kwa konde boy
sijui umefikiria niniSamatta anasubiri kwa konde boy
akianza speed ni kama koboko mwenye hasiraJamaa Yuko vzuri pia Ana kasi balaa
Mkuu na wewe fungua uzi wa kumsifia YacoubaMikia fc huyo konde.
Kwa jinsi anavyopiga miguu yote ni kweli anakuwa kama SANT CARZOLA.
Ila akiamua kulamba watu chenga kwa mguu wa kushoto.. Unawezasema MESSI yuko Msimbazi.
Kuna Messi wangapi?.. we uto vp?Messi huyu tunayemjua au Messi wa Manzese?
Nilitaka nipate uthibitisho kutoka kwako ili nijue ulivyo na ujinga mwingiKuna Messi wangapi?.. we uto vp?
Kama Ali kiba🚶♂️Anajua hilo halina ubishi ,halafu hanaga show off.