Luis Suarez na Barcelona blackmail

Luis Suarez na Barcelona blackmail

The Boss

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2009
Posts
49,282
Reaction score
117,244
Kumbe Suarez alipokuwa anataka kwenda Atletico Madrid. Barca wakamwambia na hiyo pia haturuhusu wachezaji wetu kwenda..

Suarez akawaambia mbona haipo Kwenye list ya klabu marufuku kuhamia kutoka Barca mliyonipa?

Suarez akawatishia kui release hiyo list Barca wakaogopa ndo wakamuachia shingo upande.

Hiyo list inaonekana ikitoka
Italeta scandal sana.

Kila timu ina list ya timu ambazo hawafanyi nazo biashara lakini sio
Official ..haiandikwi popote
eMail za Barca Kwa Suarez zingewaletea shida sana.
Nna hamu kujua list ina timu
Zipi ukiacha R .Madrid na espanyol.
 
Niko mbali sana na mpira siku hizi, Suarez kaondoka Barca?

Kwahiyo inawezekana na ile pesa ya La Purga kulipa ili aweze kuondoka ni mbinu za timu kuzuia wachezaji sio?
 
wapuuzi, mbona wao wanachukua wachezaji Atletico? wameogopa atawatungua kama alivowatungua cotinyo, nadhani saivi hata wakitoa mchezaji kwa mkopo watataka kuweka kipengele cha kutomruhusu kucheza pindi ikitokea wakikutana

Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
 
Kumbe Suarez alipokuwa anataka kwenda Atletico Madrid. Barca wakamwambia na hiyo pia haturuhusu wachezaji wetu kwenda...
Sio vitu Rasmi lakini vipo miaka yote na vinafahamika, ni kama Sera hivi, wanaita Sera za kutompa nguvu mpinzani wako Mara nyingi Title contenders wengine, kama Azam wangekuwa na Sera hii wasingeuza kina Manula,Kapombe,Nyoni, Wawa na Boko kwenda Simba.
 
Sio vitu Rasmi lakini vipo miaka yote na vinafahamika, ni kama Sera hivi, wanaita Sera za kutompa nguvu mpinzani wako Mara nyingi Title contenders wengine, kama Azam wangekuwa na Sera hii wasingeuza kina Manula,Kapombe,Nyoni, Wawa na Boko kwenda Simba.
Pia Simba wangemzuia Kapombe kwenda Azam usiishi kwa kukariri
 
Kuna tetezi kua ilikuepo Na man u pia.though nazan hiyo ilikuepo kwasababu ya makubaliano yao Na Liverpool kipindi wanawauzia,its not between barca and man u
 
Back
Top Bottom