Sio vitu Rasmi lakini vipo miaka yote na vinafahamika, ni kama Sera hivi, wanaita Sera za kutompa nguvu mpinzani wako Mara nyingi Title contenders wengine, kama Azam wangekuwa na Sera hii wasingeuza kina Manula,Kapombe,Nyoni, Wawa na Boko kwenda Simba.Kumbe Suarez alipokuwa anataka kwenda Atletico Madrid. Barca wakamwambia na hiyo pia haturuhusu wachezaji wetu kwenda...
Pia Simba wangemzuia Kapombe kwenda Azam usiishi kwa kukaririSio vitu Rasmi lakini vipo miaka yote na vinafahamika, ni kama Sera hivi, wanaita Sera za kutompa nguvu mpinzani wako Mara nyingi Title contenders wengine, kama Azam wangekuwa na Sera hii wasingeuza kina Manula,Kapombe,Nyoni, Wawa na Boko kwenda Simba.
hii inaitwa weka shoka niweke munduPia Simba wangemzuia Kapombe kwenda Azam usiishi kwa kukariri