Bahati kivipi?Arsenal karibia ibahatike na zawadi ya kushangaza kutoka kwa mshambuliaji wa kilabu ya Barcelona Luis Suarez baada ya mchezaji huyo kuwacha pasipoti yake nyumbani kabla ya timu yake kuondoka kuelekea mjini London.
Haijulikani iwapo alisahau cheti hicho cha kusafiria kwa kusahau au la lakini ni bahati mbaya kwa mashabiki wa Arsenal, mtu mmoja kutoka kilabu hiyo alitumwa kwa nyumba ya raia huyo wa Uruguay ili kuichukua na mchezaji huyo alifanikiwa kuondoka na kikosi kizima cha Barcelona.
BBC
Sasa bow & arrows na fist fight wapi na wapi? Ni za mbali tu, mishale! Bhang!leo wanageuzwa washika mishale....
Kwani haogopi kung'atwa? au humjui vizuri Suarez???????????????Huyo aliyetumwa nae mjinga sana angepotea na yeye.....
Mmegongwa two o'clockAfadhari wawepo wote!
Akikosekana mmoja na tukawapiga mtaanza oooh Fulani hakuwepo, sijui nini!
Waje kamili tuwapige wakiwa kamili!!
kwa akili yako unadhani ukitumia private jet huhitaji passport!Bahati kivipi?
Alafu europe sio kama Dar kwenda China, ni mwendo wa Private Jet.
WASITAFUTE VISINGIZIO, LEO LAZIMA WAKAE.
Hamna cha Ooooh, sijui tuko na jet leg mara Suarez amechoka ilibidi akimbie tena nyumbani kuchukia passport, DOZI IKO PALE PALE! 3-1 in favor pf the gunners.