Luka Modric apewe Ballon d'Or za mwaka 2014 na 2017 badala ya Cristiano Ronaldo

Luka Modric apewe Ballon d'Or za mwaka 2014 na 2017 badala ya Cristiano Ronaldo

Execute

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2022
Posts
3,000
Reaction score
7,336
Hizi tuzo zilitolewa kwa kuangalia mshindi wa UEFA Champions League (UCL). Ni dhahiri kwamba mchango wa Modric ni muhimu na wakipekee. Kama asingekuwepo Modric wala Real Madrid wasingeshinda hayo makombe.

Huyu Modric aliweza kufikia nafasi ya pili (2018) na nafasi ya tatu (2022) Kombe la Dunia akiwa na timu ya kawaida lakini Cristiano yeye ameshindwa akiwa na kikosi kizuri kwasababu uwezo wake na mchango wake kwenye timu ni mdogo.

Ballon d'or anazostahili Cristiano ni ile ya 2016 (alibeba Euro na UCL) na ile ya 2008. Ile ya 2013 alitakiwa kupewa Ribery au Robben.

Ikumbukwe kwamba Modric ana miaka 37 sawa na Cristiano lakini ameng'ara kombe la dunia mwaka huu huku Cristiano akipotea na kukaa benchi.
 
Bila kusahau Ballon dor za miss penat zote inabidi wapewe Xavi na Iniesta sababu kazi kubwa walifanya wao sifa anapewa andunje.

Messi most overrated player ever ever ever ever.
Mashabiki wa messi ni hamnazo kweli yaani mchezaji kushinda world cup ndio wanampigia debe apewe balon do'r wakati hata giroud anayo hiyo world cup mbona hawakumpa mbape hiyo tuzo last world cup aliposhinda
 
20221219_194722.jpg
 
Mashabiki wa messi ni hamnazo kweli yaani mchezaji kushinda world cup ndio wanampigia debe apewe balon do'r wakati hata giroud anayo hiyo world cup mbona hawakumpa mbape hiyo tuzo last world cup aliposhinda
Leta statistics za huyo mbape aliposhinda kombe 2018
 
Hizi tuzo zilitolewa kwa kuangalia mshindi wa UEFA Champions League (UCL). Ni dhahiri kwamba mchango wa Modric ni muhimu na wakipekee. Kama asingekuwepo Modric wala Real Madrid wasingeshinda hayo makombe...
Una chuki na CR7
 
Bila kusahau Ballon dor za miss penat zote inabidi wapewe Xavi na Iniesta sababu kazi kubwa walifanya wao sifa anapewa andunje.

Messi most overrated player ever ever ever ever.
Cristiano amepiga penati nyingi kuliko Messi.
 
Back
Top Bottom