Luka Modric hajawahi kufikisha magoli 10 au Assist 10 kwa msimu katika Career yake

Luka Modric hajawahi kufikisha magoli 10 au Assist 10 kwa msimu katika Career yake

Teko Modise

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2017
Posts
2,331
Reaction score
7,733
Fundi maestro kutoka Croatia, Luka Modric (Mtakatifu Luka) ni miongoni mwa viungo washambuliaji kwa miaka 10 iliyopita.

Hakuna asiyejua Modric alikuwa ni moja ya injini ya mafanikio huko Bernabeu wakati Real Madrid ikitwaa UCL mara 3 mfululizo.

Lakini cha kushangaza kama sio kustaajabisha, Luka Modric hajawahi kufikisha goli 10 plus au Assist 10 plus tangu aanze kucheza soka. Yaani licha ya kucheza shimoni (No. 10) hajawahi kufikisha magoli au assist hizo.

Bado kwangu ni mmoja ya viungo bora kabisa kuwahi kutokea kwa miaka 10 iliyopita kando ya KDB.
 
Upo sahihi Modise...mchezaji kacheza mpira Mkubwa pale Toten,Madrid na Timu ya Taifa lake ananyumbulika anavyotaka kama kipepeo Madrid wanataka astaafie pale kwa heshima sio auzwe vitimu vingine huko watunze Jezi yake mpaka apatikane mbadala wake ndio akabidhiwe kama walivyofanya Barc Jezi namba 10 ya Rivaldo akaja kupewa Gaucho na baadae Messi...
 
Wabongo toka tumekaririshwa goals na assists imekuwa shida. Kuna siku mtasema Chama anamzidi Ngolo Kante kwa sababu ana goli nyingi na assists.
 
Luka Modric hua anapewa sifa nyingi kuliko uwezo wake ulivyo, yani ni namba 10 alafu mbele yake alikua Cristiano Ronaldo na Karim Benzema alafu anashindwa kupiga assist 10 kwa msimu kwenye mashindano yote 🤔🤔 hata ile tuzo alichukua kimchongo tuu
 
Back
Top Bottom