Lukamba aki pimp Gari lake jipya

warumi

R I P
Joined
May 6, 2013
Posts
16,218
Reaction score
18,440
Ila mume wangu nae anapenda sifa kama shemej yangu diamond 🤣🤣, sasa jamani Gari si ulipewa jipya au ndo ilikua scraper ? , hayo marekebisho ya Nini? , na utuonyeshe kadi kwa kweli , usije ukawa umekabidhiwa Gari tu kadi ujui lilipo.
 
Gari ni Jipya(Second hand - Used in Japan Only).

Itakua hata hajatoa japan , itakua third hand kwa mtu , magar ya Japan yanakua mazuri na yanaonekana mapya, kilometer tu ndo zinaonyesha used , naona mume wangu wamenunulia Gari kwa juma msogoti mil 5
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…