Luku hainunuliki tena leo

Luku hainunuliki tena leo

mmh

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2010
Posts
2,910
Reaction score
5,084
Kwa mshangao mkubwa leo tena luku hainunuliki kwa niamala ya simu, kwa nn tatizo hili linahirudia mara kwa mara?
wapoti Kalemani kuna watu wanakutengenezea namna zinduka.
 
Kwa mshangao mkubwa leo tena luku hainunuliki kwa niamala ya simu, kwa nn tatizo hili linahirudia mara kwa mara?
wapoti Kalemani kuna watu wanakutengenezea namna zinduka.
Subiria tu mkuu utapata token zako japo utachelewa maana niliona mtu asbh kanunua tangia saa 4 kaja kupata token saa 7 mchana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa mshangao mkubwa leo tena luku hainunuliki kwa niamala ya simu, kwa nn tatizo hili linahirudia mara kwa mara?
wapoti Kalemani kuna watu wanakutengenezea namna zinduka.
Kwa sisi watumiaji wa Halotel hatuna shida hiyo.
 
hii imetutokea na sisi jion hii pia ,ni shida tupu nasikia ni tangu asubuh inasumbua
 
Back
Top Bottom