Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Subiria tu mkuu utapata token zako japo utachelewa maana niliona mtu asbh kanunua tangia saa 4 kaja kupata token saa 7 mchanaKwa mshangao mkubwa leo tena luku hainunuliki kwa niamala ya simu, kwa nn tatizo hili linahirudia mara kwa mara?
wapoti Kalemani kuna watu wanakutengenezea namna zinduka.
Kwa sisi watumiaji wa Halotel hatuna shida hiyo.Kwa mshangao mkubwa leo tena luku hainunuliki kwa niamala ya simu, kwa nn tatizo hili linahirudia mara kwa mara?
wapoti Kalemani kuna watu wanakutengenezea namna zinduka.
Home walishindwa kununua luku , wife aka nambia nka nunua kupitia zantel chap kwa harakahii imetutokea na sisi jion hii pia ,ni shida tupu nasikia ni tangu asubuh inasumbua