Lulu Aanika penzi lake la dhati kwa Justin Beiber

Lulu Aanika penzi lake la dhati kwa Justin Beiber

king'amuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 10, 2011
Posts
614
Reaction score
225

​Mkali katika Tasnia ya Filamu Tanzania (Bongo Movie) Lulu Michael a.k.a hot Lulu amevunja ukimya na kutoa yake ya moyoni kuhusu Justin Beiber Katika interview na zamaradi mketema Lulu alifunguka kuhusu mapenzi yake kwa bwana mdogo Beiber kwakusema kua ana plan za kupanda pipa ili kwenda kumtafuta mwanamziki huyo popote alipo kwahivyo ana mpango wa kuchangisha nauli kwa watu tofauti tofauti mpaka mpango utakapotimia......
 
okey then.........what do you want us to comment....!
 
Daah. okey ningeweza kusema sina comment ila kwa vile nimeshafungua comment area nahisi anaota tena mchna bora hata ndoto za usiku sometimes thy can come true.
 
Huyu Lulu anapanda pipa mpaka kwa dogo beiber lakini yuko tayari kuliwa kama samaki(samaki lazima aliwe pande mbili).
 
LMFAO!! Du hyu kishankupe anataka kujiweka league moja na kina Selina Gomez?! :S Lol hii kali...spoiled childhood!
 
wewe si ndio gay,wenzenu wakiwa na mvuto tabu,anavutia madem bwana.

We matade pole pole na unavyo type.
Jamaa kuvaa nguo za kike ndo kuvutia madem?
Ama na wewe uko kama yeye?
 
Dalili zote zinaonyesha kwamba huyu binti ni mwendawazimu
 
Back
Top Bottom