Lulu afungukia mahusiano yake na DJ Majay

uzuri wa Lulu ni jasiri mno...matusi yote kejeli zote ila bado anakomaa kuweka mahusiano yake mitandaoni kama hakijatokea kitu
 
Inasemekana......jamaa alikuwa wa Lulu......Hamisa akampitia na mtoy juu......
Yaani ni sawa wewe uibe paka wa watu......halafu paka aamue kurudi kwao mdo mdo..........

Acha bwana!!!
Hiyo ilinipita duuuuh!

Ndio mana Hamisa yupo kimyaaaa kumbe ameangukia pua,
Maskini akajua akizaa jamaa atakua wake milele,

Nimemuonea huruma zaidi.
 
Hivi huyo DJ tayari kazalisha wangapi vile. ...
NASIKIA KAZI YAKE NI KUTUMIA KIUNGO CHAKE CHA KATI KUFIKISHA WADADA WAPENDA STAREHE WA MJINI LABOUR WARD! KWELI DJ MAJAY UMEJAALIWA! ENDELEZA KUIJAZA DUNIA!
 
Acha bwana!!!
Hiyo ilinipita duuuuh!

Ndio mana Hamisa yupo kimyaaaa kumbe ameangukia pua,
Maskini akajua akizaa jamaa atakua wake milele,

Nimemuonea huruma zaidi.

Mjini burudani sana......asikwambie mtu......hebu sasa ona hii......
 

Attachments

  • image.png
    269.3 KB · Views: 114
Unajua hamisa mobeto? Yule mwanamitindo? ndo kapokonywa Huyo Dj majay Na Lulu michael ile hali Hamisa tayari ana. mtoto na uyo dj na very soon walikuwa wafunge pingu za maisha... Hamisa uyu apa
Jmn wanaume cjui wanataka nn jmn..yan kwa alivyo hamisa vile bado mtu anahangaika looh
 
Reactions: nao
Mkuu uko deep!
 
JAMANI! Shikana kiboko, mimi simwiiti LULU, namwita SHIKANA? jamani jamani shikana, nakumbuka mbari nikiona haka katoto leo kaandikwa hivyo, duuuuuuuuuuuu! nakumbuka kalikuwa kadogo sanaa tulikuwa tunakaa nako, mbagara rangi tatu, kipindi kile kalikuwa kadogo sanaaaaa sassa kame kua mpka kanakunwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…