Umeanzaaaaaaa,halaf we stunna kuweka picha warembo tu mpaka warumi siku hiz ananisahau bora uweke za kiingreza tu halaf bila pichaaaaa
Lulu mrembo ila wewe ni mzuri natural,umesikia??,yule make up zinamsaidia hana lolote
Hivo huyu case yake imeshaisha?
Watu na bahati zaoo babu kesi ishaishaa kitamboo
Watu na bahati zaoo babu kesi ishaishaa kitamboo
mkuu mimi nimetoke tu kukadharau generally kulinganisha na appearance nzima ya the great.. kaka yetu alikuwa energetic, mwishowe amekuja kuangushwa na mtoto kama huyu?mkuu udogo wake hauko vipi umri au umbo.....?maana kichwa cha treni kidogo lakini kina vuta ma behewa kama 30.mtoto mashine yake six silinda injini nyuma mbele,ilaa kana faa kwa kulumangia na kachumbari
Kijana alikuwa amekunywa jack Daniel,hivo alikuwa amelewa ikawa ni rahisi kwenda chini.RIP
mkuu mimi nimetoke tu kukadharau generally kulinganisha na appearance nzima ya the great.. kaka yetu alikuwa energetic, mwishowe amekuja kuangushwa na mtoto kama huyu?
hivi hakuona mtu kama jackline wolper ama uwoya atoke nao mpaka anajidhalilisha kkwa kitoto kama hiki?
booo!!
hii inawezekana!! mazoea na watoto nao ni shida!!
sasa brother alikuwa amesimama ama amekaa mpaka asukumwe na kudondokea kichwa?
mi mbona bado sielewi?
Apo kwenye Red unataka nikudanganye naona
Mi naomba umdanganye tu au nimdanganye mie
Tujaribuni kupost vitu vyenye maana kdg jmn
mbona kadogo hivi?
kijana aliangukaje kwa kabinti kama haka jamani?
RIP brother!
Ni kakubwa kwenda chini hako mkuu, kanaweza kimbiza game kuliko wife