Handsome Boy 2014
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 605
- 151
Hana jipya nae huyo mtoto,aende shule akasome..
Msanii maarufu wa Bongo Movie Elizabeth Michael "Lulu" wakati akifanyiwa interview nyumbani kwake,amesema kuwa anachukia umasikini na amedai kuwa umasikini ulipaswa kuwa sehemu ya dhambi.
Ni vyema angesema umasikini ungekuwa ni kosa la kisheria!! Lakini amejaribu kupeleka ujumbe kwa CCM kwa kushindwa kuondoa umasikini tangu tupate uhuru.
Usikariri kusoma ndio kufanikiwa, kuna watu walioendelea dunia hawajasoma. kama wachezaji wa mpira, waaibaji n.k
Seriously unawasifia waibaji?
Mwanamayu mimi siyo mawana-ccm, lakini ukweli ni kwamba umasikini wa tanzania hauwezi kuondolewa na chama cha siasa.