Lulu Diva kwahiyo kabisa ulitegemea ukienda katika hilo Tukio lililojaza Masela wengi Magomeni utatoka salama bila Kuibiwa Simu? Pole sana

Lulu Diva kwahiyo kabisa ulitegemea ukienda katika hilo Tukio lililojaza Masela wengi Magomeni utatoka salama bila Kuibiwa Simu? Pole sana

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Lulu Diva apigwa Iphone 16, alimpa mlinzi wake wamuwekee chaji

Msanii wa muziki @luludivatz amejikuta katika wakati mgumu baada ya simu yake Iphone 16 kuibiwa na mtu asiyejulikana.

Tukio hilo limetokea usiku huu katika pambano la Knockout ya Mama Magomeni jijini Dar Es Salaam.

Kwa mujibu wa taarifa za mashuhuda simu hiyo alipewa mlinzi wake kwajili ya kuiweka chaji na yeye anadaiwa akaiweka katika meza za wazalishaji maudhui bila wao kujua.

Alivyorudi kuiangalia simu hiyo aliikosa huku wazalisha maudhui wa meza hiyo wakisema hawajui chochote.

Hata hivyo baada ya kuitrack simu hiyo saa moja baadae ilisoma maeneo ya Temeke na ndipo msanii huyo pamoja na mlinzi wake pamoja watu wa karibu wakaamua kwenda kutafuta polisi ili wakaisake.

Chanzo: bongofive

Masela na Wajanja wote Dar es Salaam wako Magomeni halafu nawe unaenda na Simu yako ya Thamani kuwaringishia.
 
Lulu Diva apigwa Iphone 16, alimpa mlinzi wake wamuwekee chaji Msanii wa muziki @luludivatz amejikuta katika wakati mgumu baada ya simu yake Iphone 16 kuibiwa na mtu asiyejulikana. Tukio hilo limetokea usiku huu katika pambano la Knockout ya Mama Magomeni jijini Dar Es Salaam. Kwa mujibu wa taarifa za mashuhuda simu hiyo alipewa mlinzi wake kwajili ya kuiweka chaji na yeye anadaiwa akaiweka katika meza za wazalishaji maudhui bila wao kujua. Alivyorudi kuiangalia simu hiyo aliikosa huku wazalisha maudhui wa meza hiyo wakisema hawajui chochote. Hata hivyo baada ya kuitrack simu hiyo saa moja baadae ilisoma maeneo ya Temeke na ndipo msanii huyo pamoja na mlinzi wake pamoja watu wa karibu wakaamua kwenda kutafuta polisi ili wakaisake. Chanzo: bongofive Masela na Wajanja wote Dar es Salaam wako Magomeni halafu nawe unaenda na Simu yako ya Thamani kuwaringishia.
Nilijua watu wamepiga show kumbe simu tu
 
Lulu Diva apigwa Iphone 16, alimpa mlinzi wake wamuwekee chaji

Msanii wa muziki @luludivatz amejikuta katika wakati mgumu baada ya simu yake Iphone 16 kuibiwa na mtu asiyejulikana.

Tukio hilo limetokea usiku huu katika pambano la Knockout ya Mama Magomeni jijini Dar Es Salaam.

Kwa mujibu wa taarifa za mashuhuda simu hiyo alipewa mlinzi wake kwajili ya kuiweka chaji na yeye anadaiwa akaiweka katika meza za wazalishaji maudhui bila wao kujua.

Alivyorudi kuiangalia simu hiyo aliikosa huku wazalisha maudhui wa meza hiyo wakisema hawajui chochote.

Hata hivyo baada ya kuitrack simu hiyo saa moja baadae ilisoma maeneo ya Temeke na ndipo msanii huyo pamoja na mlinzi wake pamoja watu wa karibu wakaamua kwenda kutafuta polisi ili wakaisake.

Chanzo: bongofive

Masela na Wajanja wote Dar es Salaam wako Magomeni halafu nawe unaenda na Simu yako ya Thamani kuwaringishia.
Sasa anataka achangiwe ?
 
x.jpg
 
Back
Top Bottom