Lulu 'Elizabeth Michael', aingia kwenye bifu zito na Miss Tanzania 2012, baada ya kumpora bwana wake

Hahahaaa,eti bwana.Atuwekee na mapicha ya ndafu na mbege hizo tuone sio maneno matupu.

uwii hapo kwenye kuweka picha ndio pamenishinda,ningejua kuweka ningewawekea Mrs Mengi akikabidhiwa masufuria huko ya kupikia mtori
 
hahaha kibibi wewe mbona umepayukwa sana...relax!!!

Mimi sio kibibi nalingana umri na boss wako Klyn ntake radhi, nime relax mpendwa .Tatizo ni wewe unapenda tujue habari za boss wako halafu hutaki kuanzisha thread. Anzisha basi tuenjoy kuona mapicha ya ndafu.
 
Mimi sio kibibi nalingana umri na boss wako Klyn ntake radhi, nime relax mpendwa .Tatizo ni wewe unapenda tujue habari za boss wako halafu hutaki kuanzisha thread. Anzisha basi tuenjoy kuona mapicha ya ndafu.

kama umesharelax basi shukrani!!!napita hivyi na we pita kule..fumba macho kama hutaki kusikia story za bibi mwenzako.
 
uwii hapo kwenye kuweka picha ndio pamenishinda,ningejua kuweka ningewawekea Mrs Mengi akikabidhiwa masufuria huko ya kupikia mtori

Hehehehe,haya umefanikiwa kunishawishi.
Ngoja niende insta nikajionee mie.
 
kama umesharelax basi shukrani!!!napita hivyi na we pita kule..fumba macho kama hutaki kusikia sauti za bibi mwenzako.
Nataka sana kusikia maana niliyenae ndani type za marehemu Seky nawinda bilionea nimalizie maisha, tatizo kasimu kenyewe katochi hakana hata Insta. tuleteeni huku JF.
 
Nataka sana kusikia maana niliyenae ndani type za marehemu Seky nawinda bilionea nimalizie maisha, tatizo kasimu kenyewe katochi hakana hata Insta. tuleteeni huku JF.

hahahaaaaha sasa nimeelewa sababu ya kupayukwa unatamani kuingia insta ss tatizo Nokia ya tochi,hahaa umenifurahisha mno,hiyo ndoa kama ni majanga bora ukimbie tu,sasa usinihukumu bure, mie kupitapita kila korido kusambaza umbeya coz sijui kuanzisha thread wala kupost picha..
 
Tatizo mgao mwenzangu kajumba kananiuma kukaacha, yaani hapa namuombea akalie aka kameza ketu kakioo sikumoja adondoke nipumzike. Bora Klyn kajitwalia mzee hawa Vijana wetu 40's pasua kichwa.
 
Tatizo mgao mwenzangu kajumba kananiuma kukaachi, yaani hapa namuombea akalie aka kameza ketu kakio sikumoja adondoke nipumzike. Bora Klyn kajitwalia mzee hawa Vijana wetu 40'pasua kichwa.

hahahah you are so funny!!
 
Huyo seki anajipendaa kwelii akikazinguaa ka lulu tutamsikiaa chaliiiiiiii kama the great
Daah...asee wewe una maneno ya mkosi. Yaani ulishatabiri kabisa huyu jamaa atakufa na sasa amekufa kweli. Inabidi ujiogope
 
Tatizo mgao mwenzangu kajumba kananiuma kukaacha, yaani hapa namuombea akalie aka kameza ketu kakioo sikumoja adondoke nipumzike. Bora Klyn kajitwalia mzee hawa Vijana wetu 40's pasua kichwa.

Hhhhhhaaaaaaaaaaaaa yaan kakuchosha hivyooo wewe wanauzigi tu lakin hutaki yamkute mabaya siku akifa ndio utajua kua ni mtamu na unasahau makosa yake yotee acha kabisaa
 
Hhhhhhaaaaaaaaaaaaa yaan kakuchosha hivyooo wewe wanauzigi tu lakin hutaki yamkute mabaya siku akifa ndio utajua kua ni mtamu na unasahau makosa yake yotee acha kabisaa
Hawa viumbe wanatuchumia dhambi hawa, lakini kweli ndugu yangu maana hata akisafiri tu naogopa kulala chumbani mwenyewe nakosa amani usiku kucha.
 
Vijitu vihuni bhana, eti kamuibia mwanamme wake.....mwanamme wake mume wa mtu??? Bila haya kabisa kinatamka as if chenyewe kipo innocent!!! Lol
 
Hawa viumbe wanatuchumia dhambi hawa, lakini kweli ndugu yangu maana hata akisafiri tu naogopa kulala chumbani mwenyewe nakosa amani usiku kucha.

Ndio hivyo kukosana lazima mi hua tunakosana lakin sipendi apatwe matatizo tugombane awe mzima tu hhhhhhhaaaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…