Lulu Jamani Lulu

ahame chama cha presidar wake aliyemporomoshea mjengo kimara, nyumba itakwisha kweli??? mambo ya peramiho na kati ya songea! chezeiya mheshimiwa mbunge weye?? kazi ipo wallah! ila katoto mashaallah!
 
Waichezea chadema wewe?.jiulze huo mkoba kaupataje,.?.saf sana lulu atatoka muda c mrefu ya mungu meng jaman.
 
ahame chama cha presidar wake aliyemporomoshea mjengo kimara, nyumba itakwisha kweli??? mambo ya peramiho na kati ya songea! chezeiya mheshimiwa mbunge weye?? kazi ipo wallah! ila katoto mashaallah!

You and!!!mmh (wewe nae mmh!!!!) ni aje cacico
 
Last edited by a moderator:
Kwa huo mkoba aliobeba, hata akifungwa atatoka kwa msamaha wa rais dr.slaa baada ya 2015.
 
Halafu anasali sana...mwezi wa Rozari huu naona Rozari yake mkononi...Atashinda hii kesi.
 
Kama kawaida ya vigeugeu leo kisa kimkoba cha kwao kawa mzuri, hebu pekueni kuna uzi unasema lulu anataka kwenda UK kumfata Justin bieber ili muone unafiki wenu vigeugeu nyie
 
Duu huyu mtoto alivyo na nyege lazima askari huko Magereza wanambanjua usiku.
 
Kwa huo mkoba aliobeba, hata akifungwa atatoka kwa msamaha wa rais dr.slaa baada ya 2015.

Unafiki mwingine huo slaa kapitishwa lini kuwa mgombea wa chadema?au mlishapanga ndio maana zitto akisema ataka urais povu linawatoka eeh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…