jamani si kweli kwa mujibu wa Ally kiba alipohojiwa na fetty kupitia kipindi cha XXL leo mchana. alisema siku hiyo tukio limetokea alikuwa coco beach na yeye alizipata kupitia kwa watu na hakuamini na ndipo akampigia lulu kwakuwa ndiyo namba pekee ya wanasanii wa kuigiza aliyokuwa nayo na kuzungumza naye ambapo alimwambia hajui anachojua ni kwamba kanumba anaumwa. tuwe makini kwa hili JF ni sehemu ya kufundisha na kutoa habari za uhakika si za udaku!!!!!
sasa na ww umeona kuna kitu cha kuumiza kichwa hapo?...iyo post ww unaona inathink gret?...acha watu wawe huru...actually huo muunganiko na alivoweka hao wasanii hapo mimi naona babkubwa tu!..ww ungeweza ivo?...watu wengine mko serious mpaka mnapitiliza...
Watu wengi watahojiwa kuhusiana na kifo cha The great Lulu amtaja Ali Kiba ndiye aliyempa lift kutoka kwa marehemu Kanumba.