Ibrahim300
JF-Expert Member
- Nov 29, 2010
- 390
- 68
Star wa Bongo Movies Lulu Michael, ambaye pia anakisiwa kuwa miongoni mwa wanawake warembo afrika nzima katika tasnia ya filamu, ameipa mkono waburiani utumizi wa vileo.
Kulingana na staa huyu mwenye urembo wa kuvutia amesema kuwa pombe ni chanzo kikuu cha maovu katika maisha ya binadamu.
Lulu amekiri kuwa tangu atoke gerezani ameamua kuachana na uraibu wa kunywa pombe na yuko radhi kuitwa mshamba kwa jambo hilo.
"Kiukweli nikiiona pombe kuna wakati naipa shikamoo kwani ndiyo kichocheo cha kila baya hapa duniani,watakaoniona mshamba kwa kubadilika kwangu wanione hivyohivyo," alisema mrembo huyu.
Msanii huyu ambaye yuko katika kipindi cha Nyumba alikuwa mlevi wa kupindukia na kuna wakati mmoja alishawahi kuzidiwa na video katika Maisha Club jijini Dar.
Chanzo: bkuHABARI
Kulingana na staa huyu mwenye urembo wa kuvutia amesema kuwa pombe ni chanzo kikuu cha maovu katika maisha ya binadamu.
Lulu amekiri kuwa tangu atoke gerezani ameamua kuachana na uraibu wa kunywa pombe na yuko radhi kuitwa mshamba kwa jambo hilo.
"Kiukweli nikiiona pombe kuna wakati naipa shikamoo kwani ndiyo kichocheo cha kila baya hapa duniani,watakaoniona mshamba kwa kubadilika kwangu wanione hivyohivyo," alisema mrembo huyu.
Msanii huyu ambaye yuko katika kipindi cha Nyumba alikuwa mlevi wa kupindukia na kuna wakati mmoja alishawahi kuzidiwa na video katika Maisha Club jijini Dar.
Chanzo: bkuHABARI