Watanzania wepesi wa kuamini na kuanza mjadala bila kutafakari. Hebu tujiulize Lulu kasema lini hivyo, wapi, katika mzaingira gani, kahojiwa na Nani? Unapoleta habari wekeni ushahidi. Msomaji ukiona habari haina chanzo jihadhari usikoment jifunze kuwa na akiba ya Maneno. We soma upite.