Lulu michael: Nipo Single, Sina stress

warumi

R I P
Joined
May 6, 2013
Posts
16,218
Reaction score
18,440
Wakati wanazengo wakisubir kwa hamu harusi ya super staa kutoka katika kiwanda cha bongo movie , Elizabeth Michael , maarufu kama Lulu, Mwanadada huyo amepost video kwenye insta story yake ikiambatana na caption inayosomeka hivi “ Umekaa zako umetulia tuliii....Huna stress upo single , unakula bata, halafu kaka mmoja BOOM anakufanya u fall in love , bro hupendi maendeleo ya kina dada au ?” Aliandika hivyo lulu michael bila kufafanua zaidi kama huenda hiyo caption inamhusu yeye au ilikua ni Kiki tu.

Wanazengo wametafsiri caption hiyo kama ishara ya red light , huenda suala la ndoa halipo tena
 
Haya mahusiano yamembana sana Lulu ,dili za nguo anazoshika uwoya zilikua za lulu,dili za dstv,startimes angedaka basi tu mwana kuyataka mwana kuyapata kampoteza kanumba kabaki na doa kubwa.

Anyway Lulu hawezi chomoka kwa majizo kirahisi rahisi. Bado wapo pamoja
 
Atakuwa amemiss kuwa single
 
Wanazengo mnasemaje mbona hata leo kapost yuko single kuna nini uko au kisa mama watoto wa waterzo au yule wa mawingu???
 
Atapataje deals na ana rekodi ya jinai? (criminal record) atulie tu hiyo jinai imemuharibia kila kitu
 
Bongo hapa ukiwa maarufu unasamehewa dhambi zako zoootee na jinai inawekwa kando kwa muda

Mfano wema ana kesi mbaya mbaya,chafu chafu ila haikumzuia kupata deals za startimes
Atapataje deals na ana rekodi ya jinai? (criminal record) atulie tu hiyo jinai imemuharibia kila kitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…