Lulu michael

CORNATH

Senior Member
Joined
Nov 18, 2014
Posts
131
Reaction score
31
Jamani kuuliza sio ujinga..natafuta umbea hapa siukuti kila siku...hivi Lulu kweli ana mimba? Na kama anayo ni ya nani jaman.
Nb.nampenda sana huyu mtoto jaman nataman angekuwa ndugu yangu..hata akifanya mabaya mm wala simchukii
 
Jamani kuuliza sio ujinga..natafuta umbea hapa siukuti kila siku...hivi Lulu kweli ana mimba? Na kama anayo ni ya nani jaman.
Nb.nampenda sana huyu mtoto jaman nataman angekuwa ndugu yangu..hata akifanya mabaya mm wala simchukii

Wewe pia unajiita mwanaume? taifa haliendelei kwasababu yenu
 
Anayo. Ni ya kwangu. Una shida gani?
 
Umbeya mtamu sana jamani, ila ykiona mtu hajazungumziwa ujue watu hawana time naye.
 
Hivi wewe...acha kuji braza k..a.k.a kukurupuka aliyekwambia mm mwanamme nani..jipangeeeee

Ukiwa mwanamke ndio kazi yako kufuatilia mimba za watu? amka kijana, taifa linakutegemea.
 
Ya papaa mafido yule wa BSS Arusha. Unamfahamu?
 
Duuuu hizi story za kwny instargram huku zimekuja vp acheni upuuz kwan na yy ni celebrity au asiwe na mimba yy nani na kama anatoa papuchi ki roho swafi
 
Hana ilikua ni zawadi ya siku ya wajinga.
 
Wameshindwa kujenga kuta kuzunguka mabanda yao wanaweza kujenga taifa! Koh koh koh

nsaidie kushanga...watu wengine sijui vipi utadhani huwa wanapewa kadi za mwaliko na kusindikizwa na matarumbeta kuja huku kumbe wanakuja wenyewe kiroho safi kwa miguu yao miwili na nusu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…