Lulu na tuhuma za Ulevi baada ya kupigwa chini na Majizo

LICHADI

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2015
Posts
4,491
Reaction score
12,560
Usiku wa jana Binti Elizabeth michael, Lulu alikuwa insta live akiwa amelewa, inasemekana kwa sasa amekuwa mtu wa stress baada ya kupigwa chini na mpenzi wake Majay

 
Kisa cha kuachana mkuu!? Mbona walivishana pete mda flani?
Kama ameachana na majizo sishangai yeye kulewa. Kulewa ndo katabia kake sema majizo alikuwa anamlinda sana na kumtengeneza aonekane wa heshima.
Sasa wameachana karudi alipotoka.
 
Kama ameachana na majizo sishangai yeye kulewa. Kulewa ndo katabia kake sema majizo alikuwa anamlinda sana na kumtengeneza aonekane wa heshima.
Sasa wameachana karudi alipotoka.
duh
 
Kama ameachana na majizo sishangai yeye kulewa. Kulewa ndo katabia kake sema majizo alikuwa anamlinda sana na kumtengeneza aonekane wa heshima.
Sasa wameachana karudi alipotoka.
kumbe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…