[FONT=book
antiqua]Wenye maduka ya nguo na saluni za kike wamewalalamikia
Wolper na Lulu kwamba ni wakopaji maarufu na wasiopenda kulipa madeni
yao.
Nasikia hata matengenezo ya kucha wanakopa. Hizi habari zimenza muda
Sana Binafsi nilijua wanasingiziwa ila nimakuja kuikuta topic ya
wakopaji sugu kwa Sintah na Lulu na Wolper weongoza.
Kuna kipindi Joan alitaka kuwaanika wadaiwa sugu na miongoni mwao Wolper
asingekosekana.
Mnajisifia no fake zone kumbe ni mikopo tena kulipa mbinde??
Kukopa kupo kwani hata serikali ya Tanzania inakopa ila ikizidi tena
kwa star Kama nyie alafu hamlipi inakuwa haipendezi.
[/FONT]