Luludiva: Nina miaka 19, nitaolewa nikifikisha miaka 25

Luludiva: Nina miaka 19, nitaolewa nikifikisha miaka 25

Kingsmann

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2018
Posts
4,805
Reaction score
17,850
''Kwasasa nina miaka 19, natarajia kuolewa nikifikisha miaka 25'' - @luludivatz

Celebrities wa bongo hawaishi vituko, halafu eti hawa vichwabox ndio tunaowategemea watupeperushie bendera yetu huko ulimwenguni? Tuna safari ndefu sana.

Screenshot_20190904-161445.jpeg
IMG_20190904_161436.jpeg
 
''Kwasasa nina miaka 19, natarajia kuolewa nikifikisha miaka 25'' - @luludivatz

Celebrities wa bongo hawaishi vituko, halafu eti hawa vichwabox ndio tunaowategemea watupeperushie bendera yetu huko ulimwenguni? Tuna safari ndefu sana.

View attachment 1197775View attachment 1197776
Mkuu, naona utakuwa umesoma vibaya.
Ama hiyo 19 imepindika upsidedown... teh[emoji28]
 
Utamtambuaje mwanamke mzee?
Manyonyo kuwa bata au umoja
Sura kuwa ngumu
Kwapa kukomaa
Mikono kuota sugu kwa nyuma na kuweka alama nyeusi
Paja kukomaa
Macho kuwa makavu
Kuota kunyanzi vidoleni
Mikono kushindwa kukunjuka yote....
Baada ya hapo kifuatacho ni kupinda mgongo....
Zifuatazo ni picha za binti na mbibi
IMG_20190904_162806.jpeg
tapatalk_1567252583600.jpeg
 
Utamtambuaje mwanamke mzee?
Manyonyo kuwa bata au umoja
Sura kuwa ngumu
Kwapa kukomaa
Mikono kuota sugu kwa nyuma na kuweka alama nyeusi
Paja kukomaa
Macho kuwa makavu
Kuota kunyanzi vidoleni
Mikono kushindwa kukunjuka yote....
Baada ya hapo kifuatacho ni kupinda mgongo....
Zifuatazo ni picha za binti na mbibiView attachment 1197785View attachment 1197787
Mambo mengi hayo ya nini Brother Mshana..wewe angalia tu mikono..unamaliza kila kitu
 
Back
Top Bottom