brenda18
JF-Expert Member
- Sep 17, 2013
- 5,687
- 5,287
Lunch idea... Mchuzi wa kuku wa nazi
Unahitaji:
Kuku wa kienyeji 1
Vitunguu maji 3 (sliced)
Thomu tbs 1 (iliyotwangwa)
1 tsp corriander powder
Nyanya 2 kubwa (chopped)
Curry powder 1 tsp
Nyanya ya kopo (tomato puree) 1 tbs
Tui la nazi zito glass 1
Mtindi kikombe kimoja
Pilipili kavu 1/4 tsp (si lazima)
1 tsp tangawizi mbichi ilosagwa
Chumvi kiasi
Njia:
Chemsha kuku kwa chumvi na thomu mpk aive. Bakiza supu kiasi. Kaanga kitunguu kwa mafuta yalipata moto sana kwa dk 1 tu(visiwe gold).
Vikiiva weka viungo vyote isipokuwa mtindi. Acha mpk viakuke na kukaangika vizuri.
Weka mtindi pamoja na kuku bila supu. Kaanga mpaka wakauke kabisa.
Weka supu uliyobakiza na ikianza kuchemka tu weka tui la nazi.
Acha uchemke mpaka upate uzito uupendao.
Enjoy kwa wali au chapati
Unahitaji:
Kuku wa kienyeji 1
Vitunguu maji 3 (sliced)
Thomu tbs 1 (iliyotwangwa)
1 tsp corriander powder
Nyanya 2 kubwa (chopped)
Curry powder 1 tsp
Nyanya ya kopo (tomato puree) 1 tbs
Tui la nazi zito glass 1
Mtindi kikombe kimoja
Pilipili kavu 1/4 tsp (si lazima)
1 tsp tangawizi mbichi ilosagwa
Chumvi kiasi
Njia:
Chemsha kuku kwa chumvi na thomu mpk aive. Bakiza supu kiasi. Kaanga kitunguu kwa mafuta yalipata moto sana kwa dk 1 tu(visiwe gold).
Vikiiva weka viungo vyote isipokuwa mtindi. Acha mpk viakuke na kukaangika vizuri.
Weka mtindi pamoja na kuku bila supu. Kaanga mpaka wakauke kabisa.
Weka supu uliyobakiza na ikianza kuchemka tu weka tui la nazi.
Acha uchemke mpaka upate uzito uupendao.
Enjoy kwa wali au chapati