Lundenga atelekeza familia


nilishamwambia kaka yangu tangu kule bagamohyo enzi za kina wema kaka ndoa na haya mambo ayaendani tuachie vijana na sisi tumeoa sasa naona bado anakimbizana navyo tu kule mbezi bichi na tinted lake laiti weale wasichana wangejua kile kiti cha pembeni wanakalia wangapi kwa siku loh

mama hongera chukua chako anza unapunguza maambukizi mengi tu dunia ovyo kabisa
 

Huyo Lundenga kabila gani? Kama ni mngoni wa Mbinga basi ana haki
 
Huyo Lundenga kabila gani? Kama ni mngoni wa Mbinga basi ana haki

wazinzi awana haki bana kakutana na mtanga anamtenda kama ana akili nzuri yule mtoto tunamfaidi kweli huku mbezi beach anavyochezewa
 
Wakuu hii kesi imeshamalizika ?.Mama mkubwa alipewa mgao wake ?.
 
Yuko wapi Pdidy? dah alimwaga ugali na mboga,yaani vululuvululu! Duh Duniani kuna mambo wajameni!
 
Ni mtihani mkubwa maishani has kwa mke mkubwa na watoto wake waliotelekezwa! Bora mama kajiwahia mahakamani hakusubiri ile ya kadhi maana hatujui tutaiunda lini.. na hiki ni kielelezo kwamba hitaji linazaa njea..pemye nia pana njia... Mama Lundenga sr. jipe moyo utashinda na maisha yanaendelea!
 
Nilimuona dada mmoja siku Vodacom Miss Tz red carpet ya Star TV akajitambulisha kwa jina ..then akamwambia mtangazaji kama ulikuwa hujui mie ndo MRS Ludenga dah hii kasheshe
 


Kumbe Inawezekana Wanatafuta Wenyewe nyaya za kidatu,ukizingatia tunaupungufu sasa hivi ukiludi tena jipangeni kuendelea kuunga.

Ina maana mpaka leo mlikuwa hamjui kwamba ma miss huwa wanatoa rushwa ya ngono? Na tena ni tabia yao wao wenyewe wala huwa hawawekewi shinikizo!
 
kichwa cha habari kimenishtua maana Hashim ni mtu wangu wa karibu,kumbe ni ishu ya 1947,ngoja niambae nielekee zangu mmu.
 
Mbuzi ula urefu wa kamba yake na wa Madhabahuni ula vya madhabahuni, usemi umetimia barabara, Hongera Kaka Hashim.

 
Soma: Jamani tusiitosa fanilia zetu tafadhari!
 


Mara nyingi unaposema kuhusu hili shindano la Miss Tanzania watu uwa wanasababu nyingi sana la kulitetea kuwa ni zuri nk......Nimesema na nitaendelea kusema...lengo la shindano hili ni kuuza wasichana....kuna mabedeshee pale wameingia ubia na Lundenga kila mwaka wanapata vibinti vipya.....na yeye kazi yake ni kuangalia mabinti wapya kama Mswati II kule Swaziland kwenye lile onyesho lake la kila mwaka linalopigiwa kelele na dunia nzima la kuchagua mke mpya...Lundenga na Miss Tanzania ni laana nyingine kwa taifa....
 
Nilimuona dada mmoja siku Vodacom Miss Tz red carpet ya Star TV akajitambulisha kwa jina ..then akamwambia mtangazaji kama ulikuwa hujui mie ndo MRS Ludenga dah hii kasheshe

teh teh teh the the koh koh koh koh............................Mkuu umeniacha hoi,ngoja niende Chako ni Chako hapa DOM nikapate kuku na ugali...I will be back,I love JF.....I cant stay far away from you....
 
Kwanini mnarudisha post za miaka ya nyuma hapa.?(2008).? Hakuna mpya??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…