Lupatu: Kinga dhidi ya wachawi na uchawi

me ningeipata hiyooo ningeenda kusimama nje ya geti la kuingilia na kutokea Bungeni
daaadeki naamini daily ingekuwa mapumziko tukiomboleza

mkuu shukrani kwa simulizi yako
umeifupisha vzr lakini pia hujaharibu maudhui
naamini kwa simulizi hii ingemkuta mdau mungine humuu yanguwa mambo ya umungu mtu na kubembeleza aje kusimulia

mzee baba kama unayo nyingine dondoshaaa tuu
 
Tushirikiane vipi wakati wewe upo Bongo?
Mkuu kweli Ruby ina pesa, ila ina tesa.
Apa nashindwa hata kujibu comments nyingi sababu nataka kwenda msibani.
Kuna mchimbaji mwenzetu kapoteza maisha jana usiku porini.
Shimo lime mkatikia (kapigwa na ngema)
Kwanini watu wanakufa sana huko?
 
ayeeeeea 😂 hii story mbona tamu hivi ilinipitaje pitaje !?
 
Mkuu mimi sio mganga wa kienyeji.
Mimi ni mchimbaji, na mpaka hapa ninapo andika niko zangu Mwatizi, wilaya ya Mwatizi, mkoa wa Tete ,Mocambique, bado naendelea na kulisaka jiwe.
kwanini usirudi tena kwa huyo mzee akupe dawa upatemali ..kama nikweli!?
 
Mshana hajui uchawi, ila anazijua story za kichawi tu. Watu tunachezea uchawi kila siku.
Kama nakuongopea muulize, keshawahi kufukua maiti iliyo zikwa miezi mitatu iliyo pita?
Wengine tusha pagawa na haya maisha, mtuache tu.
Hahaha😂...
 
haha as a mamaaaeee kmmk
 
Kmmk😂
 
Sasa hiyo unayo tembea nayo na mchawi hatambi nyumba kumi, ndio hiyo LUPATU.
Dada, hiyo hata mchawi apite zake tu (akiwa na uchawi mfukoni) lazima imvute.
Hahaha😂
 
Pole sana mkuu, Tanganyika arms unapafahamu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…