darubin ya mbao
JF-Expert Member
- Aug 3, 2016
- 1,899
- 4,055
Tushirikiane vipi wakati wewe upo Bongo?Mkuu tushirikiane hizo mambo ya Ruby
Mwenyewe nimesharudi, hawata pata nafasi ya kuwatapeli.Uzi ushavamiwa na wazee wa fursa au unaweza kuwaita matapeli nawaona jinsi wanavyosuka nyavu hapo juu.
Sent from my TECNO L8 Lite using JamiiForums mobile app
Atuambie kama Mzee yuko hai na Msumbiji kunaendeka tutimbeMkuu kama umerudi pitia pm tumalize kabisa[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Atuambie kama Mzee yuko hai na Msumbiji kunaendeka tutimbe
Kwanini watu wanakufa sana huko?Tushirikiane vipi wakati wewe upo Bongo?
Mkuu kweli Ruby ina pesa, ila ina tesa.
Apa nashindwa hata kujibu comments nyingi sababu nataka kwenda msibani.
Kuna mchimbaji mwenzetu kapoteza maisha jana usiku porini.
Shimo lime mkatikia (kapigwa na ngema)
ayeeeeea 😂 hii story mbona tamu hivi ilinipitaje pitaje !?Boa tarde camaradas.
Tembea uyaone, zunguka ujifunze.
Hivyo ndivyo ninavyoanza kwa leo.
Mara nyingi nimekua msomaji tu humu ndani, ila leo kuna topic nimeisoma humu ndani iliyo nishawishi na mimi leo niandike.
Katika harakati zangu za kutafuta maisha nilijikuta naangukia Mocambique. Mocambique sikwenda kuajiriwa bali ni kuchimba madini (Ruby).
Nakumbuka huku nilikutana na Rafiki yangu anaeitwa Carlos. Mshikaji tulijuana kutokana na kufanya nae kazi (kuchimba) mara kwa mara.
Katika harakati zetu mara nyingi tulikuwa watu wa kuporora (hatupati madini)
Siku moja Carlos akanishauri twende kijijini kwao Shapa (wilaya ya Mueda, mkoa Cabo del Gado) kuna mzee ni mganga anaweza kutusaidia katika haraka zetu. Carlos yeye ni Mmakonde chale.
Baada ya kufika kijijini Shapa, Carlos akinichukua mpaka nyumbani kwa mganga (Mzee LUPATU)
Tulifika kwa mzee, tukamueleza shida yetu, na mzee akakubali kutupa dawa (ya madini). Siku ya tatu tukageuka kurudi mgodini (Nanhupo, wilaya ya Montepuez, mkoa Cabo del Gado)
Hatukumaliza wiki mbili, tukapata Gram moja na point saba (Ruby) tukaenda kulitikisa (kuuza) kwa Mtailendi.
Tukapata mgao kila mtu $17,500. US dollar. Kwa muda huo nilijikuta na Milioni thalathini sita na usheee hivi.
Baada ya mgao wetu, tukaamua kwenda kumpa shukrani yake mzee wetu (Mzee LUPATU) tena ukizingatia kutoka Mueda kwenda Namatili (boda) sio mbali, na ndio njia ambayo ninaitumia kuvuka kutoka Mocambique kuja Tanzania.
Tulifika kwa mzee LUPATU tukampa shukrani, na kila mtu akampa yule mzee 50,000 miticaish.
Baada ya shukrani, yule mzee akatuomba tulale pale kwake kisha kesho tuondoke, maana kuna kinga anataka kutupa.
Hakuna aliekataa, tulibaki pale kama alivyotaka babu yetu.
Kilipoingia kiza babu alikuja na ndoo iliyo jaa maji yenye dawa (niliona mizizi na majani ndani ya yale maji) akatuogesha kisha tukaingia kilingeni kwake. Akatoa vibao vidogo viwili, vye pembe nne, mfano wa kibiriti.
Vibao vile upande mmoja wa kibao kulikua kama kimechorwa msalaba kwa kuchongwa. Tukaamuliwa tuchanjwe damu, then damu ile ilipitishwa mule kwenye mistari iliyo chongwa kama msalaba.
Tulipomaliza zoezi lile, kila mtu akapewa kibao chake na kuruhusiwa kwenda kulala.
Kabla ya kwenda kulala mzee alitupa masharti ya dawa ile, akatuambia hii ndio LUPATU Wajukuu zangu, hamtarogwa na mtu yoyote kwenye dunia hii. Akatuambia lakini dawa hii ina masharti.
1 Usiende nayo kwenye shughuli yoyote ile, iwe harusi ama maziko.
2 Ukifika popote (ugenini) unatakiwa uwaambie wenyeji kuwa una kinga dhidi ya uchawi, hivyo hairuhusiwi kwa mtu yeyote kugusa uchawi mpaka utakapo ondoka.
3 Ukitaka kulala na mwanamke, iache nje (nje ya mlango)
Chengine, alituambia kuwa, hiyo dawa inafanya kazi umbali wa nyumba kumi kutoka kushoto, nyumba kumi kulia, nyumba kumi mbele ya nyumba, nyumba kumi nyuma ya nyumba.
Siku iliyo fuata mimi na Carlos tukaondoka, kila mtu akielekea kwao.
Carlos nilimuacha kwao Mueda, mimi nikavuka boda nikaingia nyumbani Tanzania. Nilipofika home, nikawaambia ndugu zangu hasa watu wazima. Pale home, mzee kuliko wote ni mama yangu mkubwa.
Hii ni nyumba ya familia (akina mama wamerithi nyumba ya baba yao) Kuna watu wengi sana.
Basi baada ya mapokezi, uchovu wa safari ilinibidi nipumzike kidogo (nililala)
Nilivyoamka jua lilikua limeshazama, hivyo jioni ilisha ingia.
Nikatumia muda huo kuwaambia wale waliokuwepo siku hiyo.
Nakumbuka alikua Mama mkubwa, dada yangu wa kwanza kuzaliwa, Mjomba pamoja na madogo walio kuwepo hapo.
Nilinza kwa kuwaambia kuwa nina dawa ya uchawi, hivyo kama kuna mchawi basi asichezee uchawi wake mpaka mimi nitakapoondoka.
Niliongea kimasihara kwakua nilitegemea nyumbani hakuna mchawi.
Mama yangu mkubwa akaomba nimuoneshe hiyo kinga (dawa).
Nikaingia mfukoni nikakitoa kile kibao. Kila mtu alicheka na kusema Mocambique wanaamini sana uchawi.
Usiku uliingia na kila mmoja akaenda zake kulala.
Siku ya pili palipokucha nikaelekea zangu Karikoo, kwenda kuchenji Dollar zangu. (Kariakoo Bazar )
Siku hiyo nakumbuka nilikula sana mtungi, nikarudi home usiku sana kama mida ya saa sita hivi usiku.
Nilipo fika home, kwa uchovu wa pombe nikajilaza kitandani, mara hazikupita dakika nyingi nikaanza kuona chumba kina mwekua mwekua, yani kama mtu kashika kioo anakizungusha mule ndani.
Nikaamka, mara ya kwanza nilidhani ni pombe labda, lakini jinsi muda ulivyokua unaenda ile hali ndio ilikua inazidi.
Ilipita kama dakika 20 hivi huku ile hali ya kumulika ikiendelea, mara nikasikia Pah! Yani kama mtu kapasua chupa ya bia vile.
Baada ya ule mlio, ule mwanga wa kioo mule ndani ukapotea.
Usingizi ulinichuka mpaka asubuhi.
Cha ajabu naamka asubuhi nakuta watu pale home wamejawa na huzuni, nilivyouliza naambiwa mama yako mkubwa kaanguka jana usiku mlangoni kwake akitokea chooni, hivyo kawaishwa hospital Temeke.
Samahani ndugu zangu.
Hii story nilipanga kuimaliza leo leo, ila kuna hudhuru imenikuta, hivyo nitaimalizia baadae ama kesho.
Naomba munisamehe.
Kwakua chenji nilikua
kwanini usirudi tena kwa huyo mzee akupe dawa upatemali ..kama nikweli!?Mkuu mimi sio mganga wa kienyeji.
Mimi ni mchimbaji, na mpaka hapa ninapo andika niko zangu Mwatizi, wilaya ya Mwatizi, mkoa wa Tete ,Mocambique, bado naendelea na kulisaka jiwe.
Hahaha😂...Mshana hajui uchawi, ila anazijua story za kichawi tu. Watu tunachezea uchawi kila siku.
Kama nakuongopea muulize, keshawahi kufukua maiti iliyo zikwa miezi mitatu iliyo pita?
Wengine tusha pagawa na haya maisha, mtuache tu.
haha as a mamaaaeee kmmkKwakua chenji nilikua nayo nikaagiza tax ije ituchuku mpaka hospitalini, kutoka Tandika mpaka Temeke hospital jamaa akataka 8000, nikampa, na wanandugu tukaingia mle.
Tulipo fika hospital, kila mtu ali msalimu mama mkubwa, ilipo fika zamu yangu mamkubwa hakuitikia.
Sikujisikia raha, hata tulipo rudi nyumbani nikabaki na maswali kwa nini mama mkubwa hakunichangamkia pale hospital.
Siku ya pili yake mida kama ya saa mbili usiku nikaona watu wanarudi na mashuka kutoka hospital.
Mara zikaja taarifa kua mama mkubwa kafa.
Kwakua yule mganga sharti moja wapo ya ile kinga alisema haitakiwi kwenda nayo kwenye shughuli yoyote ile, iwe harusi ama maziko, hivyo ilinibidi niitowe ile dawa na kuipeleka kwa rafiki yangu Yombo dovya.
Nikaichukua ile kinga nikaitia ndani ya begi la nguo zangu nikaipeka kwa rafiki anaishi yombo, kisha nikarudi nyumbani mazikoni.
Kweli tulizika salama
Mara baada ya kuisha maziko na wageni kuondoka, mama yangu mzazi (yeye haishi nyumbani hapo) akaniita chemba nakuniuliza (hiyo ni siku mbili baada ya mazishi)"Mwanangu umerudi na nini kutoka huko Mocambique"?
"Mwanangu wewe ni mtoto hicho ulicho rudi nacho ni kikubwa utawamaliza watu"
Nilishindwa nimjibu nini bimkubwa. Nikafikiliaaa, nikamjibu "mama mimi nimerudi na Dollar kutoka Mocambique.
Na kwamkukata ngebe nikaingia chumbani nikatoka na Dollar 500, nikamkabidhi.
Nikamwambia "mama hiyo ni zaidi ya Milioni moja.
Baada ya maongezi yale bimkubwa akaondoka zake kwake, na siku kama ya tano kila mtu alisha izoea ile hali ya kuishi bila mama mkubwa.
Siku ya sita, nikatoka zangu mpaka yombo, (kwa rafiki yangu) niliko peleka begi langu, nipo fika nikamkuta rafiki yangu akanipa begi langu, nilipo muuliza kuhusu mama , (mama yake) akaniambia yuko msibani, nyumba ya jirani kuna msiba.
Sikutaka kufatilia sana, nikachuka begi langu nakurudi home. (tandika)
Kwakua maswala ya msiba, sikupata hata muda wa kutumia pesa zangu.
Nyumbani pale baada ya msiba kwisha na wageni kuondoka, tukabaki wenyewe kama zamani, kasoro mjomba flani kutoka zake kijijini (wana udugu nae tu akina mama) yeye hakuondoka.
Zikapita kama siku Kazaa hivi, siku hiyo nimelala, ghafla nikaamka, baada ya kuamka nikakuta chumba kizima kina mwekua mwekua kama mtu kashika kioo anakizungusha mule ndani.
Nika nyanyuka mpaka ditishani nikachungulia, sikuona chochote, nikarudi kitandani.
Hazikupita dakika nyingi mara nikasikia Pah (mlio ule ule wa chupa inayo pasuliwa)
Mara ule umweku mweku ukapotea na usingizi ukanipitia.
Hata lisaa naamini halikupita, mara nasikia naamshwa, nilipotoka nje nikakuta wanandugu wako nje sura zimejaa huzuni.
Nikamfuata dada yangu nikamuuliza kulikoni? Mbona sura za huruma?
Sister akanijibu kua mjomba kadanja, (kafa).
Harakati za kuipeleka maiti hospitalini usiku ule ule, mpaka kuna pamba zuka, sielewi.
Kilipo kucha kila ndugu zikawa zimemfikia habari zile za kifo.
Mazishi yakapangwa yafanyike kijijini,
Bungu.
Tukaenda wanandugu wote mpaka Bungu, tukazika, tulipo maliza kuzika, sikulemba nikachukua gari nikarudi home.
Siku ya tatu, mama yangu mzazi akaja home, akitokea msibani, alipo fika tu akataka tuongee chemba.
Kama kawaida yake mama, akaanza kuniuliza maswala yale yale.
"Mwanangu umerudi na nini kutoka huko Mocambique"?
"Ulicho rudi nacho hicho ni kikubwa utawamaliza watu wewe ni mtoto"
Tiripu hii uoga ukaniingia, nikazama ndani, nikaingia mpaka kwenye begi nikakitoa kile kibao, na kwenda nacho mpaka alipo kua mama na kumuonyesha.
DAHH , EBWANA EE KILA NIKI TAKA KUMALIZIA MAMBO YANAINGILIANA.
NISAMEHENI KUNA JITU NA MALIZANA NALO KWANZA. NITARUDI.
Kmmk😂Mkuu mchawi humjui, wenda hata Bimkubwa akawa mchawi ila usimjue.
Nimempoteza mama yangu mkubwa kizembe tu, naamini yeye hakuwa na nia ya kuniroga ila ile kinga ni marufuku kwa mtu kuchezea uchawi nilipo kuwepo mimi.
Kwahiyo wenda mama mkubwa alikua na harakati zake, sema dawa ikamvuta kama sumaku.
Hahaha😂Sasa hiyo unayo tembea nayo na mchawi hatambi nyumba kumi, ndio hiyo LUPATU.
Dada, hiyo hata mchawi apite zake tu (akiwa na uchawi mfukoni) lazima imvute.
Mara paaahhh 😂Hahaha kumwekua mwekua ni kuwaka waka kama ambulance vile au radi.
Pole sana mkuu, Tanganyika arms unapafahamu?Dah wakuu usiku wa kumkia leo nimeibiwa TV Samsung flat 49 inches. Jamaa wameruka fence wakatoa lock ya kioo cha dirisha wakavunja nondo wakazama ndani wakafungua TV ukutani. Hii ni mara ya pili wananiibia TV, mara ya kwanza ilikua mwaka 2018 kwa style hiyo hiyo. Huyu babu hawezi kuwa na namna ya kudhibiti wezi ikiwa ni pamoja na kuwakamata hawa wa jana? Au kama kuna yoyote mwenye uwezo wa kuwakamata wafundishwe adabu maana wamenichosha na wanarudisha nyuma sana.
Nimeweka picha ya nondo walizokata kisha wakaziacha hapo chini. View attachment 1575000
Hahaha😂Kwa asie ijua Ruby, hii ndio Ruby.
Ukikutana na uzito huo, lazima ulale na kina Wema sepetu.
Zuchu mwenyewe hachomoki hapo. View attachment 1571029
Hahaha😂 KweliWangeanza kufa hao mashekhe na mapadre maana ndio wachawi wakubwa