Lupatu: Kinga dhidi ya wachawi na uchawi

Mzeeebaba kwanini umemkimbia mzee lupatu wakati alikusaidia na angekusaidia kupata madini ya rubi??????
 
...malizia hii.
Man Kitoabu Mndengereko Asili.....

Sijajua Kama yuko salama huko Cabo Delgado Mocimboa Da Praia Msumbiji kwa yule babu "gwiji" kwani tunasikia ISIS wanatamba wao tu....

N.B Akijitokeza tunamuomba amwambie yule babu "gwiji" awazuie hao magaidi wa ISIS...mbona yule bibi wa "gesi" aliweza kwa ndugu zao wa Ntwara?!!!
 
Mtu a comfirm kama yupo jamani nimechoka mazingaombwe yanayoendelea juu yangu
 
Mtu a comfirm kama yupo jamani nimechoka mazingaombwe yanayoendelea juu yangu
Kuconfirm kuhusu huyo babu ?!!

Kama ndiyo,basi jibu ni....BABU HUYO YUPO...na si peke yake....kule WAMEJAA maprofesa wa "fani hiyo"...

Sema sasa hivi huko HAMKANI HALI SI SHWARI....the so called ISIS are terrorizing and raving gorrila war across northern regions....
 
I forgot to ask you hayo mazingaombwe...wanakudukua na kukuhack "usiku wa ma 8"?!!!
 
Ndy kuhusu huyo Babu,Babu awazuie hao washenzi basi
 
Mshana hajui uchawi, ila anazijua story za kichawi tu. Watu tunachezea uchawi kila siku.
Kama nakuongopea muulize, keshawahi kufukua maiti iliyo zikwa miezi mitatu iliyo pita?
Wengine tusha pagawa na haya maisha, mtuache tu.
Nakubali
 
Mkuu naamini hii ilitiki, unikumbuke kwenye ufalme wako[emoji1][emoji1]

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…