Lupatu: Kinga dhidi ya wachawi na uchawi


🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣nimecheka kwa sauti daah
 
Ningependa kujua gharama zake kama vile nauli na mahitaji muhim ya njiani kwenda na kurudi na umbali wake wa siku ngapi mana Kwa Uzi niliousoma adress inaonekana mbali ukizingatia mi mjamzito nisije zalia njiani ningependa kwenda pia

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nyie wabongo siwawezi
 
Tupe connection mkuu, nomeingia chaka kwaa wakutu huku, wananijia laivu wanasema sitoboi, nataka kufanya mass distraction
 
Mhhhh
 
Uzi bora kabisa huuu
 
Wee Kaa sehemu utulie ambayo hauto sumbuliwa Ili uweze kumaliza story Yote kuliko kuweka vipande vipandee.
 
Mimi nina namna yangu pekeangu nyingine kabisa jinz niliyokuelewa..
Jaji mfawidhi heshma yako mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…