ndyoko
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 4,971
- 1,652
Hakika ana uzuri wa asili hususani ngozi yake. Hata hivyo-mnisamehe
kama ntakuwa nimekosea-siku ya utoaji tuzo, huyu binti ngozi yake
ilionekana kama ametolewa toka kwenye matope, maana sehemu
nyingine za ngozi zilikuwa zinag'aa kuliko zingine.
Kuna wakati nlikuwa najiuliza huyu binti alipakaa mafuta ya nazi nini, mbona kama
vile alikuwa amejibandika mafuta badala ya kujipaka!
Akamsiki!