Lupita Nyong'o na nywele zake

huyu mba atakuwa anazisikia kwa wenzake akienda kuchota maji kisimani.
 
picha ya tatu kushuka chini nimeipenda zaidi(nimempenda)
 
Jamaa yake he must a luckiest man alive

Why awe 'luckiest man alive'?
sababu ya umaarufu?
alikuwa kidem cha kawaida sana juzi juzi tu wakati anaigiza Suga ..series ya MTVbase

nna hisi wapo walio hit n run kipindi hiko...

mtu kuwa maarugu hakumfanyi awe 'special'

inawezekana kuna kidume huko Nairobi hakipokei simu zake vile vile
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…