Lusubilo Mwakibibi adai ataaufunga uwanja wa Taifa siku ya mechi ya Simba na Yanga kama uwanja usipolipa kodi

Hismastersvoice

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2013
Posts
21,741
Reaction score
26,735
Leo kwenye Star TV nimemuona mkurugenzi wa jiji TEMEKE akiongea kwa ukali kuudai kodi Uwanja wa Taifa huku akitishia atasubiri siku ya mechi ya Simba na Yanga aufunge! Sikuamini kama anazijua timu hizi na mashabiki wake na nini kinaweza kutokea na kama ataweza kukizuia!

Mwakibibi utarudi Tukuyu kabla ya siku zako.

Imbombo nkafu mwanafyale.
 
Akaidai TFF

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…