Luteni Kanali analea Mtoto Wangu.... Nyie wanawake HATaRiiiii!!!!

kaanzishe valangati la kufa mtu kwa luteni kanali hadi akupe mtoto wako...
 
Hujanichamba.... Alwayz naheshimu logic argument, hata iwe chungu kama mwarobaini!!!!!!
Umenipa ushauri mzuriiiiii

Mbwa hazomei yaliyopta, tugange ya keshoooo!!!!

Kidumu Chama cha........ Cjuw wew uko C..M gani?????

Unaona sasa ulivyo na mawazo ya kitoto? Mambo ya kidumu chama cha nini sijui hapa yanakujaje?
 

Wewe ni mwanaume halafu 31?!! Inanishangaza maandiko yako yamekaa kidemudemu!
 
Nina wasiwasi na umri wako!mwanaume wa 31 yrs hawezi kuact au kua na mawazo kama yako..
Ulikua na miaka 26 umfuate mtu lodge then useme alikubaka dume zima?oh no thank you!.
Wewe ni iresponsibe man,ulimpa mtu mimba ukamkimbia,now analelewa na mwanaume mwingine bado unajiona mjanja!! What a shame??kha!
 
Hujanichamba.... Alwayz naheshimu logic argument, hata iwe chungu kama mwarobaini!!!!!!
Umenipa ushauri mzuriiiiii

Mbwa hazomei yaliyopta, tugange ya keshoooo!!!!

Kidumu Chama cha........ Cjuw wew uko C..M gani?????

Aseee!!! Umenikosha hapo mwaishoni.
 
" There are men in this world who go about demanding to be killed. You must have noticed them> They quarrel in gambling games, they jump out of their automobiles in a rage if so much scratches their fender, they humiliate and bully people whose capabilities they do not know. These are people who wander through the world shouting "kill me. Kill me". And there is always somebody ready to oblige them." Godfather by Mario Puzzo

We endelea tu kupiga kelele kill me kill me..Somebody will do it without questioning twice
 
Ha ha ha, ujue wewe ni mkorofi wa kuzaliwa?

Sijui ni poti, eti hujanichamba.

Hujanichamba.... Alwayz naheshimu logic argument, hata iwe chungu kama mwarobaini!!!!!!
Umenipa ushauri mzuriiiiii

Mbwa hazomei yaliyopta, tugange ya keshoooo!!!!

Kidumu Chama cha........ Cjuw wew uko C..M gani?????
 
Nimepitia story yako inaonekana yeye ndio alitaka kukubambikia wewe so hakuna sehemu inayoonyesha wewe ndio umempa bali ilitaka kula kwako!
 
Pole pascal naestimate umri wako utakuwa 29 or 30 lakini bado hujitambui
Hujanichamba.... Alwayz naheshimu logic argument, hata iwe chungu kama mwarobaini!!!!!!
Umenipa ushauri mzuriiiiii

Mbwa hazomei yaliyopta, tugange ya keshoooo!!!!

Kidumu Chama cha........ Cjuw wew uko C..M gani?????
 
njoo mchukue mwanao ati ameshakuwa mkubwa . yaani huwezi kumkataa kwa jinsi alivyofanana na baba yake .
huyu hapa .


ahahahahahahahahahaahahahahahahahahahahaahahahahah like father like son...ahahahahahaha
 
mtoto sio wako,acha kujidai ushababi...mbegu za kumntungisha mtu mimba huna....:wacko:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…