Lwaitama: Polisi baada ya kupambana na mlusha bomu wanapambana na walusha mawe

Lwaitama: Polisi baada ya kupambana na mlusha bomu wanapambana na walusha mawe

Great Cbn

Senior Member
Joined
Jun 22, 2013
Posts
165
Reaction score
43
Mwl Lwaitama ameshangazwa kwanza na matumizi ya neno UGAIDI. Amesema matukio mengi yaliyotokea hayastaili kuitwa ya kigaidi kama lile la mwangosi, ulimboka na n.k.Mwl kasema matukio hayo yanatakiwa kuitwa matukio ya kinyama au ualifu.Pia Lwaitama ameshangazwa na tukio zima la Arusha na baadhi ya kauli za viongoz.Mwl amesema kwamba anashangazwa na polisi wa TZ baada ya kupambana na yule mtu aliyetupa bomu katika mkutano wa cdm wao wakaanza kupambana wananchi waliokua wakitupa mawe.Pia ameonyesha kushangazwa na kauli ya serikal bungeni iliyosema "Polisi walikua upande fulan na mtupa bomu alikua upande fulani" Mwl akahoj kwa iyo siku ya Mkutano kulikua na polisi waliokaa upande mmoja tu, kwaiyo polisi wengine wasio kuwa na sale,askari kanzu, usalama wa taifa, kwanini hawakuzunguka uwanja wote. Ameshangazwa pia na kauli ya kusema "watu walichochewa wakajenga chuki kwa polisi" kwaiyo akasema mkuto toka uanze viongozi wa cdm walikua wanawajaza chuki wananchi zidi ya polisi. source HOJA YA MWALIMU LWAITAMA
 
Serikali ipo nyuma ya haya mauaji ndio maana hata wanavoshughulikia hii kesi halieleweki!! Damu ya watanzania ipo mikononi mwao!!
 
Mwl Lwaitama ameshangazwa kwanza na matumizi ya neno UGAIDI. Amesema matukio mengi yaliyotokea hayastaili kuitwa ya kigaidi kama lile la mwangosi, ulimboka na n.k.Mwl kasema matukio hayo yanatakiwa kuitwa matukio ya kinyama au ualifu.Pia Lwaitama ameshangazwa na tukio zima la Arusha na baadhi ya kauli za viongoz.Mwl amesema kwamba anashangazwa na polisi wa TZ baada ya kupambana na yule mtu aliyetupa bomu katika mkutano wa cdm wao wakaanza kupambana wananchi waliokua wakitupa mawe.Pia ameonyesha kushangazwa na kauli ya serikal bungeni iliyosema "Polisi walikua upande fulan na mtupa bomu alikua upande fulani" Mwl akahoj kwa iyo siku ya Mkutano kulikua na polisi waliokaa upande mmoja tu, kwaiyo polisi wengine wasio kuwa na sale,askari kanzu, usalama wa taifa, kwanini hawakuzunguka uwanja wote. Ameshangazwa pia na kauli ya kusema "watu walichochewa wakajenga chuki kwa polisi" kwaiyo akasema mkuto toka uanze viongozi wa cdm walikua wanawajaza chuki wananchi zidi ya polisi. source HOJA YA MWALIMU LWAITAMA

kama umekusudia kuandika kwa kutumia lugha ya taifa basi ni "Kurusha" sio "kulusha" 😉
 
Mwl pia alisema inamaana hawa polisi wanajilinda na wapigaji mawe tu,kama kweli wananchi walijenga chuki zidi yao,kwanini hawakujitaidi kumkamata mtupa bomu, ambae wananchi wangemuona huyu apa mtuhumiwa, chuki si ingepungua kwa hao polisi alisema Mwl. Matokeo yake huyo mtu inasemekana alipanda kwenye gar na kukimbia.
 
Maarufu kama "mwanachama MFU wa CCM". Asante Dr. Lwaitama, wewe umejitofautisha na wenye kuongozwa na matumbo yao kwa gharama ya taaluma na weledi wao
 
Mwalimu wachane hawa magamba na waelewa muda utasema na watakuwa wafungwa hapo baadae.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom