Lwakatare ajipanga

Unajua mawatu yanakionea wivu Chadema, mimi sio mwanachama wa Chadema walasiwapendi ila ukweli ninaouona na ninaouamini ni huu hapa, Chama chochote kinachokubaliwa na wasomi ndo chama cha ukweli na kinachoweza kuleta maendeleo...
Udsm zaidi ya asilimia 90 wanaikubari Chadema kwa hiyo ukiona msomi anafanya hivyo inabidi usome nyakati.

Binafsi nakionea wivu chadema nimependa kusema kweli
 
Kwa akili yako wasomi wapo UDSM pekee?Mbona nawe ueleweki?
 

Mwaka 95 asilimia zaidi ya wasomi wake walikuwa wakimuamini Mrema...... Mrema sasa yuko wapi?

Haya mambo ya wasomi ndo yanatuangusha sasa.

**** msomi kama Chenge na Marehemu Balali?
 
Mwaka 95 asilimia zaidi ya wasomi wake walikuwa wakimuamini Mrema...... Mrema sasa yuko wapi?

Haya mambo ya wasomi ndo yanatuangusha sasa.

**** msomi kama Chenge na Marehemu Balali?

Nimeipenda hii kaka!!! LOL
 
Acheni mambo hayo!

Kutokana na kiwango changu cha ufahamu na uelewa nimetumia udsm, wewe kama umetumia au umesoma Columbia university poa ila hapa ni Tanzania.

Kama kweli upo makini ni chuo kipi kinacho tambulika kimataifa cha hapa tanzania, ntabaki nikikienzi chuo chetu cha Tanzania.

Mrema ni kichwa tatizo ni mkumbo tu wa watu.
Mara ya kwanza ni pale alipokuja Tarime kwa mara ya kwanza na helcopter ikatua CMG motel miaka hiyo ya 92 au 91 acha kabisa kila mtu aliogopa Milio ya risasi usiku kukawa hamna tena.
Kwa wakati huo aling'aa sana.
 
Lwakatare karibu sana Chadema,umesoma alama za nyakati,CUF hakuna kitu zaidi CCMb.Jiimarishe vizuri 2010 Ubunge unapata,Kagasheki katangaza kustaafu,akigeuka kitamkuta kilichompata Msekwa kwenye Uspika.
 
Nilisema kuwa huyu jamaa alikula feza ya kampeni ,inaonyesha ni kweli kabisa ,aliwakosesha posho mawakala na kusababisha jamaa kuingia mitini ,fedha fedheha.
Ila ndio siasa za Bongo kuna habari kuwa Slaa nae anatafuna feza ila hakuna wa kumfunga kengele.
 

Hiyo habari ya Slaa si mpya inajulikana lakini si peke na boss wake naye yumo, ngoma droo!!!!
 
Hakuna haja ya kujadili mambo kama haya na pia kama akirudi CCM tutawajua wa kweli na pia ni yupu mkweli kati yao
 
Huyu mhaya nae....

Hata mwandishi wa gazeti la Majira aliyeandika hii habari ni muhaya naamini ni muendelezo wa ukabila.mimi nashangaa amejiunga kwanza na Chadema hakafu ndio akapewa katiba na sera za Chama.papo hapo akatembeza bakuli kuomba pesa za kuandika kitabu.Lwekatare kuomba ni maumbile yake.
 
Amesoma alama za nyakati, Kagera wanamuhitaji sana kuwa mbunge wao kupitia chadema maana cuf haikubaliki kagera.
 
Amekuja Chadema, anaweza kushinda ubunge huko Bukoba na pia hata harakati zake kuwa na mwamko sana kuliko alivyokuwa CUF
 
Amekuja Chadema, anaweza kushinda ubunge huko Bukoba na pia hata harakati zake kuwa na mwamko sana kuliko alivyokuwa CUF
Ikiwa CCM wataamua kumpangia ushindi na kuwagaia Chadema Mbunge basi atashinda ,nataka uelewe tu matokeo ya uchaguzi huwa yanapangwa na CCM na serikali yake na vyombo vyake na si matokeo halali ya wapiga kura ,kwa maana hiyo napenda ufahamu washindi wa viti vya ubunge kwa zile sehemu ambazo wapiga kura hawako tayari kupambana hata ikibidi kukatana vichwa katika kulinda matokeo basi matokeo hayo na ushindi huo huwa ni wa kupangwa tu.
 
waheshimiwa,we dont need to judge him mpaka tuone maendeleo yake ndani ya CHADEMA.Lwakatare ni mwanasiasa mzuri na mwenye msimamo..sasa kama ni kweli hayuko CHADEMA kwaajili ya pesa basi tusubiri tuangalie atafanya nini ndani ya chama hiki.pia mabloggers ili kuonyesha misimamo yetu lazima tuwe wazi.kama unaunga mkono upinzania basi kuwa wazi kabisa.au kama unaunga mkono CCM pia kuwa wazi kabisa..kwa wale supporters wa CHADEMA kama una facebook account kuna group inaitwa CHADEMA SUPPORTERS,naomba mjiunge nao ile mtandao upanuke zaidi.Its too much liers with CCM but "THEY CAN CHEAT SOME PEOPLE SOMETIMES BUT THEY CANT CHEAT ALL THE PEOPLE ALL THE TIME"....Lazima tujue kwamba WE REALLY NEED CHANGES,WEITHER U LIKE IT OR NOT.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…