Lizaboni
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 33,895
- 20,392
Kuna hali ya sintofahamu juu ya WILFRED LWAKATARE kufutiwa mashtaka ya UGAIDI huku wengi wakiamini kuwa maamuzi hayo ya mahakama yametokana na ukweli kwamba suala hilo lilitawala mijadala ya bunge linaloendelea DODOMA na kwa maana hiyo Mahakama haikuwa na namna nyingine hasa ukizingatia kuwa mmoja wa mawakili wa upande wa utetezi ni alikuwa Mbunge.
Mytake:kama maoni haya ya watu ni ya kweli, basi ni dhahiri kuwa sasa wananchi watakosa mahali pa kupatia haki zao.napendekeza kwenye Katiba mpya kiwepo kipengele cha kutomruhusu mbunge kuwa wakili katika kesi zenye maslahi kwa taifa.
Mytake:kama maoni haya ya watu ni ya kweli, basi ni dhahiri kuwa sasa wananchi watakosa mahali pa kupatia haki zao.napendekeza kwenye Katiba mpya kiwepo kipengele cha kutomruhusu mbunge kuwa wakili katika kesi zenye maslahi kwa taifa.