Lwakatare aufunika mji wa Bukoba

Halafu watu sio wengi kihivyo ni picha tena nyingi zimechukuliwa sehemu ILE ILE!
 

Lwakatare hakutemwa CUF kama wengi wananvyofikiria; hili suala kuwa Lwakatare ametemwa CUF limekuzwa mno na vyombo vya habari ukiwa ni kama mkakati wa kupeleka mtafaruku ktk chama hicho; lakini mkakati huo ulifeli vibaya sana ndio maana vyombo hivyo hivyo vilivyotangaza kuwa baada ya kubwagwa ktk uongozi wa juu CUF alikuwa na mpango wa kukihama chama, haya mapokezi ya kufa mtu hawakuandika japo hata ktk kurasa za ndani walau stori ya mstari 1 tu!!!
Hii habari iliandikwa na magazeti machache sn maana ni pigo ambalo hawakulitarajia; wakaona soo.

Lwakatare amepewa kazi "maalum" ktk TACTICS kuelekea uchaguzi mkuu wa serikali za mitaa mwaka huu na uchaguzi mkuu mwakani; hayo mapokezi ya kufa mtu ni vijimambo tu kueleka huko.

Sasa CHADEMA "kama ni kweli"walikuwa wanamsubiria ili ndio awe mtaji wao wa kisiasa kule kagera inabidi waanze kupanga hesabu upya...

Ila hata kama watamnunua au ataenda huko kwa ridhaa yake mwenyewe; naamini bado CUF hawatasambaritika naamini kwa 100%. Hivi kuna mtu aliekuwa mahiri ktk CUF Bara kumzidi Tambwe Hiza??? Je, aliporudi kwa mafisadi wenzake CUF imesambaratika kama mheshimiwa unavyodhani kwa nadharia zako zisizomakinika???
CUF bado wapo na wataendelea kuwepo hata kama Lipumba na Seif (ambae mnadai ndio mwenye chama chake) au kiongozi mwengine yeyote ataamua kutoka; yote ni kwa kuwa chama kipo kwa wananchi hata kama wanaonekana ni wachache huko bara, bado wananchi hao hao wataweka GOLIATH mwengine kuongoza mapambano.


Halafu watu sio wengi kihivyo ni picha tena nyingi zimechukuliwa sehemu ILE ILE!


MTU UKIPENDA...., HATA CHONGO UTAITA NI KENGEZA...!!! Hao "watu sio wengi" ndio hao hao wanaoleta na watakaoleta mageuzi ya kweli ktk nchi hii. Historia inatuambia siku zote mabadiliko ya kweli huanzishwa na wachache....

Habari ndio hiyo.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…