Hakuna cha kocha wala nini...wachezaji watachezaje bila ya mishahara......niyonzima kadai walikuwa hawana motivation... Tuache kutegemea wafadhili tuongeze wanachama wafike 1m kila mwanachama alipe ada ya uanachama 5000 kwa mwaka inapatikana 5 bilioni... Wachezaji watafia uwanjani kuleta ushindi... Miungu watu watasepa...kweli timu inaenda kukaa kigamboni...