ndayilagije
JF-Expert Member
- Nov 7, 2016
- 7,491
- 8,304
Nauliza hivi,kwa nini watu wenye kipato cha mawazo/duni/masikini ndiyo wanaongoza kwa matumizi mabaya ya pesa?
Mfano mtu kakopa halafu anafanya sherehe za hapa na pale,vibesidei mara vipaimara..kutoa mwali sijui,maulidi!.Alimradi kujaza watu kwake tu eti kuna sherehe.
Mbona matajiri huwa hawana sana hizo?
Ni kupunguza stress za maisha,au kuwa na uelewa mdogo wa masuala ya uchumi na bajeti!
Unakopaje pesa kufanya harusi wakati banda unaloishi linatishia amani!
Msaada wenu waungwana.
Mfano mtu kakopa halafu anafanya sherehe za hapa na pale,vibesidei mara vipaimara..kutoa mwali sijui,maulidi!.Alimradi kujaza watu kwake tu eti kuna sherehe.
Mbona matajiri huwa hawana sana hizo?
Ni kupunguza stress za maisha,au kuwa na uelewa mdogo wa masuala ya uchumi na bajeti!
Unakopaje pesa kufanya harusi wakati banda unaloishi linatishia amani!
Msaada wenu waungwana.