Lyatonga Mrema anajuta kujiuzuru uwaziri au anafanya kazi ya UWT?

Lyatonga Mrema anajuta kujiuzuru uwaziri au anafanya kazi ya UWT?

Watanzania

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2009
Posts
727
Reaction score
44
Ninajiuliza kila siku, hasa baada ya mwenendo wa Mrema kutokueleweka kisiasa.

Kuanzia pale alipoamua kuwa upande wa CCM wakati wa Msiba wa Marehemu Chacha Wangwe, na kuwa kinyume na Chadema amekuwa haeleweki. Sasa hivi yeye yuko ‘bize' kuwaponda wenzake wa vyama vya upinzani. Kitu ambacho sielewi ni; Mrema anajuta kujiuzuru uwaziri wa mambo ya ndani na kujiengua CCM au anaendelea kufanya kazi yake ambayo yasemekana ni usalama wa taifa?
 
Huyu amepauka kisiasa na kiuchumi pia. Hana jipya, anatumia utu uzima tu kuishi hapa mjini.
 
Nimewahi kusikia kuwa alipata ajali mbaya ikaathiri ubongo wake.
Hebu ngoja nitoke nje nikaangalie leo kuna mwezi gani, maana nasikia wenzetu hawa hawashikiki mwezi ukiwa mchanga
 
CHADEMA kwa matusi na propaganda mmezidi; sijui mkipata madaraka itakuwaje?

Huyo Mrema japo ana record nzuri ya utendaji na ndio maana kuna Watanzania tutaendelea kumwunga mkono.

Mnapoteza muda bure kupambana na Mrema ambaye atashinda Vunjo mtake msitake. Pelekeni mapambano yenu kwa hao mafisadi CCM na sio kuamua kumchafua Mrema kwasababu tu hakubaliani na nyie CHADEMA.
 
Chadema=chama cha wachagga
mrema naye mchagga..
Sasa vita vya nini nyie wanandugu?
 
Chadema=chama cha wachagga
mrema naye mchagga..
Sasa vita vya nini nyie wanandugu?
Hao Wachaga ni opportunists, Mrema alipokuwa maarufu mwaka 1995 wote walikimbilia kwake na kuitema CCM. Sasa wanaona amefulia wanamkimbia kama ukoma.

Baada ya kuona CHADEMA inakuja juu wote wamekimbilia huko, ikifulia watarudi CCM haraka kuwahi ulaji.

Hawana msimamao hao, wanafuata ulaji tu.
 
Hao Wachaga ni opportunists, Mrema alipokuwa maarufu mwaka 1995 wote walikimbilia kwake na kuitema CCM. Sasa wanaona amefulia wanamkimbia kama ukoma.

Baada ya kuona CHADEMA inakuja juu wote wamekimbilia huko, ikifulia watarudi CCM haraka kuwahi ulaji.

Hawana msimamao hao, wanafuata ulaji tu.
Acha fikra potofu wewe!! kwa hiyo waliompa ubunge Zitto kigoma ni wachagga? Dr. slaa karatu? Tarime?
 
Hao Wachaga ni opportunists, Mrema alipokuwa maarufu mwaka 1995 wote walikimbilia kwake na kuitema CCM. Sasa wanaona amefulia wanamkimbia kama ukoma.

Baada ya kuona CHADEMA inakuja juu wote wamekimbilia huko, ikifulia watarudi CCM haraka kuwahi ulaji.

Hawana msimamao hao, wanafuata ulaji tu.
akili fupi daima hupenda kujadili na kuunga mkono upuuzi na tetesi ambazo hazina mashiko.
 
akili fupi daima hupenda kujadili na kuunga mkono upuuzi na tetesi ambazo hazina mashiko.
sijua hata kama hodi alipiga huyu!!
Join Date: Fri Mar 2010
Posts: 6
Thanks: 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power: 0
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_highpos.gif
reputation_highpos.gif
reputation_highpos.gif
 
Huko aliko pia anaendelea na ajira yake maalum kuhakikisha upinzani unakosa mwelekeo.
 
akili fupi daima hupenda kujadili na kuunga mkono upuuzi na tetesi ambazo hazina mashiko.
Akili fupi pia hupenda kuwajadili wenye akili fupi. Werevu wamesoma na kudharau, wenye akili fupi wamekimbilia kwenye mipasho.
 
Nchi yetu mzuri uwe chadema ccm au usiwe na chama yote pouwah kwa mtazamo wangu vyama havina ishuuu .....
 
CHADEMA kwa matusi na propaganda mmezidi; sijui mkipata madaraka itakuwaje?

Huyo Mrema japo ana record nzuri ya utendaji na ndio maana kuna Watanzania tutaendelea kumwunga mkono.

Mnapoteza muda bure kupambana na Mrema ambaye atashinda Vunjo mtake msitake. Pelekeni mapambano yenu kwa hao mafisadi CCM na sio kuamua kumchafua Mrema kwasababu tu hakubaliani na nyie CHADEMA.

Heshima kwako Muheza2007,

Nipojiunga na JF mwanzoni nilidhani inamilikiwa na CHADEMA ambao wako hapo kutetea jambo lolote hata kama halina mantiki,napata faraja watu kama wewe kutambua mapema hila na ghiliba za baadhi ya wachangiaji kutaka kuifanya JF ipo kwaaajili ya kutetea propaganda za CHADEMA.
 
Heshima kwako Muheza2007,

Nipojiunga na JF mwanzoni nilidhani inamilikiwa na CHADEMA ambao wako hapo kutetea jambo lolote hata kama halina mantiki,napata faraja watu kama wewe kutambua mapema hila na ghiliba za baadhi ya wachangiaji kutaka kuifanya JF ipo kwaaajili ya kutetea propaganda za CHADEMA.
Ngongo,

Kuna watu hapa kazi yao kusema CCM wote ni Mafisadi, hapo wana maana hata mama Nyerere ni Fisadi. Ukiwageuzia kibao kwa makusudi na kuwaambia CHADEMA ni ya Wachaga, wanaanza kutukana eti Mbona kuna Zitto. Kama mnaona kuna Zitto ambaye sio Mchaga basi hata CCM kuna watu kama mama Nyerere ambao ni wasafi. Mkuki kwa nguruwe kwa binadamu uchungu.
 
Akili fupi pia hupenda kuwajadili wenye akili fupi. Werevu wamesoma na kudharau, wenye akili fupi wamekimbilia kwenye mipasho.
leta analysis za kisomi kwanini CHADEMA ndio wanaomshambulia Mrema, A.L NIJUACHO NA AMBACHO NI REALITY Mrema si tishio kwa Mpinzani yoyote, ni mtu ambae jamii yoote kwa ujumla imeelewa rangi zake halisi........
labda anabifu na Mzee Sitta.
CHADEMA walimkataa Mrema akiwa juu baada ya kutoka CCM, ITAKUWAJE LEO WAANZE KUINGIA NAE VITANE.
watu wenye mind duni huyaangalia haya mambo kwa fikra fupi vivyo hivyo
 
leta analysis za kisomi kwanini CHADEMA ndio wanaomshambulia Mrema, A.L NIJUACHO NA AMBACHO NI REALITY Mrema si tishio kwa Mpinzani yoyote, ni mtu ambae jamii yoote kwa ujumla imeelewa rangi zake halisi........
labda anabifu na Mzee Sitta.
CHADEMA walimkataa Mrema akiwa juu baada ya kutoka CCM, ITAKUWAJE LEO WAANZE KUINGIA NAE VITANE.
watu wenye mind duni huyaangalia haya mambo kwa fikra fupi vivyo hivyo
Mkuu,

Naona umegundua makosa yako ya mwanzoni na sasa kuamua kujadili issue. Hapo tunaweza kujadiliana. Mimi nilikuwa nawapima CHADEMA kwa kuwarushia kijembe kama wanavyofanya kwa CCM ili nione je wataepuka matusi?

Sikukosea maana kweli mkakimbilia kwenye matusi na kuniita nina akili fupi. Hapo research yangu imekamilika.

Vipi CCM wote ni mafisadi?
 
Mkuu,

Naona umegundua makosa yako ya mwanzoni na sasa kuamua kujadili issue. Hapo tunaweza kujadiliana. Mimi nilikuwa nawapima CHADEMA kwa kuwarushia kijembe kama wanavyofanya kwa CCM ili nione je wataepuka matusi?

Sikukosea maana kweli mkakimbilia kwenye matusi na kuniita nina akili fupi. Hapo research yangu imekamilika.

Vipi CCM wote ni mafisadi?

Sijui unategemea jibu la aina gani kwa swali la aina hiyo? Lakini kwa kifupi tu ni kwamba mtu yeyote anayeshabikia CCM kama ilivyo hivi sasa na kuona kwamba kila kitu ni shwari ndani ya chama hicho basi huyo ni FISADI kwa maana yake halisi! Ama, ana matarajio/ndoto za kifisadi. Tuache unafiki, CCM hivi sasa inaendeshwa kifisadi na inahitaji mapinduzi makubwa sana kuirejesha kwenye misingi yake ya maadili. Mrema anajua vizuri sana hilo.

Msitake kupoteza lengo kwa kufanya ni suala la ulinganisho na CHADEMA au chama chochote cha upinzani. CCM ni chama tawala kinachodhibiti hazina yetu yote (inaelekea sasa hata namna tunavyofikiri).

Kuna mtu hapa kauliza ikiwa na Mama Maria Nyerere naye ni fisadi. Huko ni kupotea hoja. Akamuulize kwanza kama Mama ana raha na hicho chama kama kilivyo hivi sasa. Mmeshasikia maoni ya wana-CCM wengine walioamua kuweka kando unafiki.
 
CHADEMA kwa matusi na propaganda mmezidi; sijui mkipata madaraka itakuwaje?

Huyo Mrema japo ana record nzuri ya utendaji na ndio maana kuna Watanzania tutaendelea kumwunga mkono.

Mnapoteza muda bure kupambana na Mrema ambaye atashinda Vunjo mtake msitake. Pelekeni mapambano yenu kwa hao mafisadi CCM na sio kuamua kumchafua Mrema kwasababu tu hakubaliani na nyie CHADEMA.

Rekodi nzuri basi iambatane na uwezo wa kufikiri; uwezo wa kimkakati. Huwezi kusikia kauli za sasa za Mrema ukapata faraja kuwa huyu ni mtu timamu achilia mbali kuwa kiongozi wa maana. Hata hao anaowapigia chapuo bila shaka pembeni wanabakia kumshangaa na kumsikitikia tu. Na akirogwa arudi CCM watamweka uwani na kumsahau moja kwa moja. He is, simply, embarassing!
 
Acha fikra potofu wewe!! kwa hiyo waliompa ubunge Zitto kigoma ni wachagga? Dr. slaa karatu? Tarime?

Jifunze tofauti ya ' wachaga wengi ni chadema na chadema wengi ni wachaga' then soma message ya jamaa unaweza kuilewa vizuri, utaona mifano uliyoitoa ni sahihi lakini haina uhusiano.
 
Back
Top Bottom