Watanzania
JF-Expert Member
- Jul 7, 2009
- 727
- 44
Ninajiuliza kila siku, hasa baada ya mwenendo wa Mrema kutokueleweka kisiasa.
Kuanzia pale alipoamua kuwa upande wa CCM wakati wa Msiba wa Marehemu Chacha Wangwe, na kuwa kinyume na Chadema amekuwa haeleweki. Sasa hivi yeye yuko ‘bize' kuwaponda wenzake wa vyama vya upinzani. Kitu ambacho sielewi ni; Mrema anajuta kujiuzuru uwaziri wa mambo ya ndani na kujiengua CCM au anaendelea kufanya kazi yake ambayo yasemekana ni usalama wa taifa?
Kuanzia pale alipoamua kuwa upande wa CCM wakati wa Msiba wa Marehemu Chacha Wangwe, na kuwa kinyume na Chadema amekuwa haeleweki. Sasa hivi yeye yuko ‘bize' kuwaponda wenzake wa vyama vya upinzani. Kitu ambacho sielewi ni; Mrema anajuta kujiuzuru uwaziri wa mambo ya ndani na kujiengua CCM au anaendelea kufanya kazi yake ambayo yasemekana ni usalama wa taifa?