Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
kuna kaugonjwa kameingia dar cha watu kuvimba lymph ktk shingo,chini ya sikio si kwa watoto wala vijana wala watu wazima utawakuta wamevimba,je tatizo hili kwa nini lizuke zaidi wakati huu,je husababishwa na mabadiliko ya hali ya hewa au unstable weather conditions au nini?