M 2da P akiuaga mwili wa Ngwair

Angewasaidia vijana wetu watanzania kwa kuwaambia walimeza au walimezeshwa nini kule south ili vijana wetu pia wakienda wasije wakaingia mtegoni. Itakuwa na faida kwa vijana na Taifa ki ujumla kama hatofichaficha hilo
 
Dar -Moro ukikanyaga mafuta vizuri hata saa 1:30 unafika labda foleni ya kuanzia ubungo to mbezi ndyo itakukwamishaa tuu...
 
Dar-Moro masaa4?? labda kama ni Bajaji au Sanlg hapo sawaa....
 
Samahani kama ntamkwaza mtu ila natamani kama ingekua Ngwair ndo yupo hai ili apate second chance baada ya kujifunza, naamini asingerudia. I miss Ngwair already
 
Watanzania tujifunze kuwa makini na mastarehe yaliyopiliza ,yanatupoteza na kuhatarisha maisha!
 
Samahani kama ntamkwaza mtu ila natamani kama ingekua Ngwair ndo yupo hai ili apate second chance baada ya kujifunza, naamini asingerudia. I miss Ngwair already

Duuuuuuuu una roho ngumu sasa ulitaka afe yule mwingine halafu mi najua angekufa yule mwingine kwa kuwa hakuwa anajulikana sana kama Cowbama isingepewa uzito kama huu.ukweli uongo?Mungu atusamee.
 
Hiyo mibangii mnayovuta ni stiiimu za kulanduka.kama si kuziiimiiia mtajikuta mnakufa.
 
Imemuuma sana jamaa

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Serikali itumie Ripoti ya Daktari kumtia nguvuni kwa kumiliki na kutumia isivyo halali madawa ya kulevya, pia ashtakiwe kwa jaribio la kujiua bila ya kukusudia pia apimwe linda kama wale vijana wa soweto hawajazilegeza maana ndivyo wafanyiwavyo mateja wakianguka!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…