nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,379
Sauti ya Kiume ikoje?
ni ipi kati ya hizi: ya Nyerere, ya Mkapa, ya JK, ya Mbowe, ya Silaa, ya Obama, ya Bush, au ya Makamba?
Hebu kwa mnaojua sauti za hao watu hapo juu mniambie ipi ya kiume ipi siyo, ili nijiangalie sauti yangu iko kwenye kundi lipi hapo.
duh!obama anakimbiza mbayaa...naikubal sana ile voice yake...co hz za kna jk.
Kwanini umeamua kuchukua sample ya hawa jamaa ku represent wanaume???? Afu nshaona wanaume wanaojibu humu mada ime wa touch. Mwanaume awe na sauti kama david wakati and the like.
Afu wanaume wenye sauti nzito ni wapole sana. Wenye sauti nyembamba we! Wana kelele na wanajua kulalamika sana.
hahahaaaaaaaa umeuaaaaaKwanini umeamua kuchukua sample ya hawa jamaa ku represent wanaume???? Afu nshaona wanaume wanaojibu humu mada ime wa touch. Mwanaume awe na sauti kama david wakati and the like.
Afu wanaume wenye sauti nzito ni wapole sana. Wenye sauti nyembamba we! Wana kelele na wanajua kulalamika sana.
Mkuu umeamua kuchakachua thread ya Afrodezi teh! teh! teh!Kwa mabinti wote Akiwemo afrodenz. hivi nyinyi mnapenda mwanaume awe na sauti gani? nyembamba kama nyinyi ,nyororo, kigugumizi au sauti la besi kama mvuta bangi etc?
hahahaaaaaaaa umeuaaaaa
si mnamuona YOYOOO?
shsssssssssss! mwenyewe ajuiMkuu umeamua kuchakachua thread ya Afrodezi teh! teh! teh!
heheheheeeee......uchokozi mtupu!! Naenda kumwambia.shsssssssssss! mwenyewe ajui
Kwa mabinti wote Akiwemo afrodenz. hivi nyinyi mnapenda mwanaume awe na sauti gani? nyembamba kama nyinyi ,nyororo, kigugumizi au sauti la besi kama mvuta bangi etc?
Mbowe na Obama wanasaut zizofaa hasa kwenye hotuba,sijui kwenye mahaba wanaongea vp..maana unaweza shangaa Obama anaongea ka manka wa kibosho...Sauti ya Kiume ikoje?ni ipi kati ya hizi: ya Nyerere, ya Mkapa, ya JK, ya Mbowe, ya Silaa, ya Obama, ya Bush, au ya Makamba?Hebu kwa mnaojua sauti za hao watu hapo juu mniambie ipi ya kiume ipi siyo, ili nijiangalie sauti yangu iko kwenye kundi lipi hapo.
Asante. Voice la ukweli.napenda sauti kama la Chidi Benzino!
we ya jk huipendi?napenda sauti kama la Chidi Benzino!
siipendi wala siichukii!we ya jk huipendi?
sauti yake inanikosha balaa.napenda sauti kama la Chidi Benzino!
kumbe tuko wengi...jaalia sauti lile linanongona sikioni mwako,lazma uruke kama umengatwa na ng'esauti yake inanikosha balaa.
hahahaha! Ujatulia weye.kumbe tuko wengi...jaalia sauti lile linanongona sikioni mwako,lazma uruke kama umengatwa na ng'e
hahahhhaah naja mpwapwa unipepee!hahahaha! Ujatulia weye.