Zaidi ya mara tatu nimekuwa nikiangalia lile yule kijana wa Arusha anataja tarehe alizo shinda ni 27 .12.2018.
Nijuavyo mm hata uwe na miaka 90 huwezi kusahau tarehe uliyoshinda bahati nasibu ya 200m.
Utasahau jinsia yako lakini sio tarehe ya kuvuta mpunga kama huo!