Usedcountrynewpipo
JF-Expert Member
- Aug 1, 2012
- 3,636
- 2,728
Acha upuuzi wewe,badala ya kujadiri na kuwaza ni kwanini thamani ya sarafu ya nchi yako inashuka,na ni jinsi gani mtajikwamua na dhahama hii,wewe unaweka upuuzi kama huu,so who are Diamond and Alikiba by the way?