OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
imenikera hata mimi sana tuuuu utashangaa yule muhuni siku nyingine tena wanafanya naye kazi,simba wamuweke kwenye blacklist kabisaUpuuzi mtupu zarau zile za mzozo wasnge msaini meneja kiropo ropo
hayo ndo matusi yatakayokuwepo mjini kwa sasa na CEO akatukanwa na shaffih dauda all in the name ya zimbwe kupewa mkataba?dahmeneja wake mjanja sana, amewatekenya mmepanda dau chaap.
million 2 tu imewatia aibu Club Kubwahayo ndo matusi yatakayokuwepo mjini kwa sasa na CEO akatukanwa na shaffih dauda all in the name ya zimbwe kupewa mkataba?dah
utampangia mchezaji wakala?Iwe mwisho simba kufanya kazi na Hery mzozo kama fergusson ya man utd ilivyokataa kuafanya kazi na Mino raiola
Hapa sasa ni kusubiri matusi ya kina mzozo na kina shaffih dauda kwamba wao ndiyo wamesababisha kasaini mkataba mpya
sasa kwa nini wameacha mshahara mnono wa utopolo na ule wa south africa wanalazimisha simba? asilimia kubwa tulikuwa hatutaki abaki tena sababu ya meneja wake binafsi sijapendamillion 2 tu imewatia aibu Club Kubwa
humpangii ila akija naye ajue kabisa kwamba simba hachezi teams ziko nyingi siyo simba tuutampangia mchezaji wakala?
meneja janj-janja aliamua kuwatekenya mpande dau.sasa kwa nini wameacha mshahara mnono wa utopolo na ule wa south africa wanalazimisha simba? asilimia kubwa tulikuwa hatutaki abaki tena sababu ya meneja wake binafsi sijapenda
yeye siyo wa kwanza kutekenya lakini style yake ime backfire vibaya mnoo walidhani tungeuwakia uongozi kumbe noooo ,hata manula kwa sasa antekenya tena anatekenya pabaya mnooo maana hata kocha wa makipa amesema hataki kusikia habari za manula kwenda sudanimeneja janj-janja aliamua kuwatekenya mpande dau.
nilikuwa najua JF kuna watu wenye akili pekee.humpangii ila akija naye ajue kabisa kwamba simba hachezi teams ziko nyingi siyo simba tu
ndicho ninachowaambia watu hapa eti wanamsifu meneja kwamba kafanikisha hili jambo..subiri sasa manula atakavyoongezewa mkataba juu ya mkataba maana yeye anatekenya kijanja kwamba anahitajika teams za nje hakuna vurugu wala majibishanao kiwango anaonyesha huku anawajambishahuyu dogo kama ana akili abadili wakala
haha hii style ya mameneja kutekenya kuna siku mchezaji ataachiwa alafu akose pakwenda.yeye siyo wa kwanza kutekenya lakini style yake ime backfire vibaya mnoo walidhani tungeuwakia uongozi kumbe noooo ,hata manula kwa sasa antekenya tena anatekenya pabaya mnooo maana hata kocha wa makipa amesema hataki kusikia habari za manula kwenda sudani
mkataba wake haujaisha lakini atafanyiwa kama chama au luis katikati ya mkataba anapandiwa dau tena, sasa zimbwe kupwa kujaa leo yuko juu mwezi ujao anavurunda halafu meneja wake na shaffih dauda wanakuja na style ya kutukana ya kibabe subiri uone mtekenyo wa manula wa bila vurugu utakavyojibu
Ishawahi kutokea kwa ferguson dhidi ya wakala Raiola kaondoka utd wakafanya ujinga kumtumia tena yule wakala ona jinsi anavyoivuruga man utd na huyo pogba wake hadi mashabiki wamechoka sasanilikuwa najua JF kuna watu wenye akili pekee.
si ilitokea papy kabamba tshishimbi na juma abdul wakidhani simba ingewachukuahaha hii style ya mameneja kutekenya kuna siku mchezaji ataachiwa alafu akose pakwenda.