M Mkoba haiwezi kutoa ela tangu Jumamosi.

M Mkoba haiwezi kutoa ela tangu Jumamosi.

kachwankizi

Member
Joined
Sep 9, 2024
Posts
41
Reaction score
81
Mimi ni katibu wa kikundi fulani nimejafibu kuanziaha hatua za kufanya muamala M Mkoba lakini imeshindikana tangu Jumamosi.
Nimejaribu kuongea na watoa huduma voda lkn majibu yao hayaeleweki
Kama ni suala la mtandao mbona ela ya kutumwa Mkoba inakubali lakini ya kutoka haifanikiwi!!?
Toeni majibu ya kueleweka la sivyo waliokwisha ng'atwa na nyoka watakuwa na wasiwasi mkubwa.
 
M koba ni kimeo, mnaweza kutoa kwa wiki 2 bila mafanikio
 
Mimi ni katibu wa kikundi fulani nimejafibu kuanziaha hatua za kufanya muamala M Mkoba lakini imeshindikana tangu Jumamosi.
Nimejaribu kuongea na watoa huduma voda lkn majibu yao hayaeleweki
Kama ni suala la mtandao mbona ela ya kutumwa Mkoba inakubali lakini ya kutoka haifanikiwi!!?
Toeni majibu ya kueleweka la sivyo waliokwisha ng'atwa na nyoka watakuwa na wasiwasi mkubwa.
Vodacom Tanzania toeni ufafanuzi
 
Mimi ni katibu wa kikundi fulani nimejafibu kuanziaha hatua za kufanya muamala M Mkoba lakini imeshindikana tangu Jumamosi.
Nimejaribu kuongea na watoa huduma voda lkn majibu yao hayaeleweki
Kama ni suala la mtandao mbona ela ya kutumwa Mkoba inakubali lakini ya kutoka haifanikiwi!!?
Toeni majibu ya kueleweka la sivyo waliokwisha ng'atwa na nyoka watakuwa na wasiwasi mkubwa.

Usitegemee MPesa na Vodacom kwenye deadlines, utakuja kuwekwa lockup, juzi imenifanya nionekane muhuni!
 
Tumepata shida s



Tumepata shida sana kiongozi.Watoa huduma voda hawana majibu.Wanakwambia jaribu Tena.Watu waliweka akiba ya sikukuu.Hali ni tete.

Ni mmoja tu ajitokeze awapeleke mahakamani, huwa kwenye sikukuu hizo shida ni za kutengeneza ku control outflow of cash
 
Kuna wakati kuna ugumu kwani hujui ulio nao wataongeza vinywaji au vyakula

I always master my budget na huwa kwa pesa yangu no over spending, hapa huwa sina mchezo, order ikipita naweza ongeza maji basi!
 
Ni Jana rafiki yangu mtendaji kanipigia simu kuwa njoo haraka ofisini Kuna ngumi zinapigwa uje utie mkwara wanakijiji wapoe nikawa namuuliza shida ni nini anasema eti Kuna wanakikundi wamemganda mwenzao kuwa ameongea na watu wa Vodacom ili wasitoe hela aende agawane nao ndiyo maana hela haitoki 😀😀
 
I always master my budget na huwa kwa pesa yangu no over spending, hapa huwa sina mchezo, order ikipita naweza ongeza maji basi!
Ni jambo jema sana.
Lakini kwangu ni tofauti.
Nikikualika chakula maana yake nimejipanga kukabiliana na matokeo.
Sitakubana chakula
 
Ni jambo jema sana.
Lakini kwangu ni tofauti.
Nikikualika chakula maana yake nimejipanga kukabiliana na matokeo.
Sitakubana chakula

Bado unanielewa, ninapoenda kwenye mgahwa Najua kamwe siwezi tumia zaidi ya laki 1 mfano; mhudumu atakuja, watu wataweka order kwa uhuru ( Whatever they want ) na nitawafanya huru kweli, order ikishafanyika, then no more!
 
Mimi ni katibu wa kikundi fulani nimejafibu kuanziaha hatua za kufanya muamala M Mkoba lakini imeshindikana tangu Jumamosi.
Nimejaribu kuongea na watoa huduma voda lkn majibu yao hayaeleweki
Kama ni suala la mtandao mbona ela ya kutumwa Mkoba inakubali lakini ya kutoka haifanikiwi!!?
Toeni majibu ya kueleweka la sivyo waliokwisha ng'atwa na nyoka watakuwa na wasiwasi mkubwa.
Wanawatunzia pesa za shule ili Januaryi msije kudai ianzishwe M -Mkoba Songesha
 
Sorry. This service is temporarily unavailable at the moment. You will not be able to transact for now. Kindly try again later. Thank You
Watanilaza giza hawa wapuuzi
 
Sasa Kumekucha
Baadaye Wanakuja Na Maneno Oop Ni Salama Wekeni Ipo
Mtu Atachambia Mgomba Tunamuona Badala Ya Kujisafisha Anajisiriba Nyaa
 
Back
Top Bottom