Habari wana Jf
Kuna uzi ulianzishwa wakueka akiba na M-PAWA, katika Jukwaa hili nautafuta unaelezea namna ya kuunda kikundi kila mtu anaeka akiba kwenye laini yake ya VodaCom then mwisho wa siku wanachama wote wanagawana
Ambae anaukumbuka ule uzi aweke link
Mod help me............plz [emoji119][emoji119]