M-pawa kweli itamtoa mjasiriamali

GOODFRIEND

New Member
Joined
Aug 30, 2014
Posts
4
Reaction score
1
Wadau m-pawa nimeisikia ikitangazwa sana kuwa itatusaidia sana wajasiriamali hasa wadogo. Kwa
kuwa tukiweka hela yetu itakuwa inazaa faida. Naomba mwenye uelewa wa namna faida inavyopatikana anisaidie nisije kuwa napishana na fursa nzuri ya biashara?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…